Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 963

Category: Habari za Nyumbani

Hongereni akinamama Tanzania na duniani kote

Posted on: May 13, 2012 - jomushi
Hongereni akinamama Tanzania na duniani kote

KWA kutambua mchango na kazi kubwa ya akina mama wote nchini Tanzania, na popote ulimwenguni natumia nafasi hii kumpongeza mama yangu Mecktilda Lutabana Mushi kwa…

Continue Reading....

Pinda atoboa siri kutoswa mawaziri

Posted on: May 13, 2012 - Rungwe Jr.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ameeleza sababu zilizomfanya Rais Jakaya Kikwete, kulivunja Baraza la Mawaziri na kulisuka upya kuwa kunalenga kuleta utamaduni mpya wa matumizi ya…

Continue Reading....

Kadi za CHADEMA zagombewa Same

Posted on: May 12, 2012 - jomushi
Kadi za CHADEMA zagombewa Same

Na Tumainiel Seria KADI za Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana ziligombewa na wananchi wa Wilaya ya Same wanaohudhuria mikutano ya chama hicho kwa…

Continue Reading....

Polisi wamtwanga risasi ‘jambazi’

Posted on: May 12, 2012 - jomushi
Polisi wamtwanga risasi ‘jambazi’

Na Thomas Dominick wa Binda News-Musoma MTU mmoja anayejulikana kwa jina la Duke Mkama (27) Mkazi wa Kijiji cha Katario, Tarafa ya Makongoro, Musoma Vijijini…

Continue Reading....

Wataka mawaziri wafilisiwe

Posted on: May 12, 2012 - Rungwe Jr.
Wataka mawaziri wafilisiwe

Sasa kampeni inapigwa ili mali za mawaziri waliofutwa kazi zifilisiwa kama watakutwa na hatia mahakamani. Huo ni wito wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha…

Continue Reading....

Kafulila: Nikishindwa kesi nitahamia chama kingine

Posted on: May 12, 2012 - Rungwe Jr.
Kafulila: Nikishindwa kesi nitahamia chama kingine

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR Mageuzi), David Kafulila, amesema yuko tayari kukihama chama chake na kujiunga na chama kingine ikiwa atashindwa kesi ya kupinga kuvuliwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari