Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 955

Category: Habari za Nyumbani

Obama aitabiria mema Tanzania, ni kuhusu kilimo

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Obama aitabiria mema Tanzania, ni kuhusu kilimo

Na Mwandishi Maalumu, Washington TANZANIA itakua moja ya nchi za mwanzo barani Afrika, kunufaika na mpango wa pamoja wa Kilimo kwa nia ya kuongeza na…

Continue Reading....

Mbunge wa Mufindi Kusini, apata ajali, alazwa

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Mbunge wa Mufindi Kusini, apata ajali, alazwa

MBUNGE amepata ajali leo na amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa kwa matibabu zaidi. Hata hivyo taarifa zinasema hali yake kwa sasa inaendelea vizuri…

Continue Reading....

CCM wameteka Mchakato wa Katiba-Chadema

Posted on: May 19, 2012 - Rungwe Jr.
CCM wameteka Mchakato wa Katiba-Chadema

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeijia juu Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) kwa kitendo cha kuteka mchakato wa katiba mpya kabla ya…

Continue Reading....

CCM champuuza Mbunge Shibuda

Posted on: May 19, 2012 - Rungwe Jr.
CCM champuuza Mbunge Shibuda

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempuuza Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda, kufuatia kauli yake ya kudai kuwa atagombea urais kupitia Chadema katika uchaguzi mkuu…

Continue Reading....

Ikulu yampiga stop mmiliki wa Moses Nursery

Posted on: May 18, 2012 - jomushi
Ikulu yampiga stop mmiliki wa Moses Nursery

SIKU chache zilizopita, Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Moses Nursery ya Yombo Vituka, Dar es Salaam, Moses Kabambara amekuwa anasambaza kadi kwa watu binafsi,…

Continue Reading....

Ikulu yamkumbuka Patrick Mafisango

Posted on: May 18, 2012May 18, 2012 - jomushi
Ikulu yamkumbuka Patrick Mafisango

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mwenyekiti wa Klabu ya Soka ya Simba…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari