Na Shomari Binda wa Binda News-Musoma WAUGUZI katika hospitali ya Mkoa wa Mara wameweka mgomo wa kuingia wodini na kutoa huduma mbalimbali katika hospitali hiyo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Ajali mbaya Babati, watu 6 wafa wawili majeruhi
Na Mwandishi Wetu, Thehabari-Manyara HABARI zilizotufikia zinasema watu sita (6) wamefariki dunia huku wengine wawili (2) wakijeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Sigino wilayani Babati…
Continue Reading....ICD yazindua mtandao wa taarifa kuhusu walemavu
Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com KITUO cha Habari Kuhusu Ulemavu (ICD) nchini Tanzania kimezindua mtandao (Blogu) ambayo itakuwa ikikusanya taarifa mbalimbali kuhusiana na masuala ya walemavu…
Continue Reading....Rais wa Zanzibar azungumza na uongozi wa Wizara ya Uwezeshaji Wananchi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika,…
Continue Reading....Matukio katika picha mkutano wa marais wastaafu nchi nne Afrika
Pichani shoto ni Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania,Mh Benjamini Mkapa akichangia mada mbalimbali zilizokuwa zikijadiliwa kwenye mkutano wa kujadili maendeleo ya matumizi ya…
Continue Reading....Marais wastaafu nchi nne Afrika wakutana Afrika Kusini
Na Michuzijr Blog-Johannesburg MARAIS wastaafu nane wa nchi za Afrika wamekutana jijini Johannesburg, Afrika Kusini na kufanya mkutano wa siku tatu ndani ya Chuo Kikuu…
Continue Reading....