Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 670

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete Atembelea Kiwanda cha East Coast Oils & Fats

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Atembelea Kiwanda cha East Coast Oils & Fats

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa…

Continue Reading....

Mama Pinda: Tuombe Yasitokee Mabomu Mengine

Posted on: May 17, 2013May 17, 2013 - jomushi
Mama Pinda: Tuombe Yasitokee Mabomu Mengine

MKE WA WAZIRI MKUU Mama Tunu Pinda amesema Watanzania wote kwa pamoja wana kila sababu ya kujinyenyekeza mbele za Mungu na kuendelea kuomba ili pasitokee…

Continue Reading....

Fainali Miss Utalii Mkwakwani

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Fainali Miss Utalii Mkwakwani

HATIMAYE fainali za Taifa za Miss Utalii Tanzania mwaka huu,zinafanyika mkoani Tanga siku ya Jumapili Tarehe 19-5-2013katika uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga. Fainali hizo za…

Continue Reading....

Mtihani Mgumu kwa Rais Kikwete…!

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Mtihani Mgumu kwa Rais Kikwete…!

KUNA kila dalili kwamba wabunge wa CCM wameanza kupanga majeshi kwa lengo la ‘kumalizana’ watakapokutana kwa siku mbili mfululizo na mwenyekiti wa chama hicho tawala,…

Continue Reading....

Mama Tunu Pinda Awaasa Makatibu Muhtasi kuzingatia Maadili Yao

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Mama Tunu Pinda Awaasa Makatibu Muhtasi kuzingatia Maadili Yao

  MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amewaasa Makatibu Muhtasi na kuwataka wazingatie maadili ya taaluma yao ya uhazili ili kuongeza ufanisi wa majukumu…

Continue Reading....

Thamani ya Fedha Kenya ‘Yawaachisha’ Shule Wanafunzi Rombo

Posted on: May 17, 2013 - jomushi
Thamani ya Fedha Kenya ‘Yawaachisha’ Shule Wanafunzi Rombo

Na Joachim Mushi, Rombo KUFANYA vizuri kwa thamani ya fedha ya Kenya (Kshs) tofauti na ile ya Tanzania (Tshs) kumechangia kwa namna moja kuiathiri Wilaya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari