Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 65

Category: Habari za Nyumbani

UN na EU Waendeleza Kampeni ya Uelewa wa Malengo ya Maendeleo Endelevu

Posted on: November 29, 2016 - jomushi
UN na EU Waendeleza Kampeni ya Uelewa wa Malengo ya Maendeleo Endelevu

  UMOJA wa Ulaya (EU) na Umoja wa Mataifa (UN) wamejiunga pamoja kuendesha kampeni ya uelewa wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) nchini Tanzania. Aidha…

Continue Reading....

METDO Yasaidia Wazee Kituo cha Kiilima Mkoani Kagera

Posted on: November 28, 2016 - jomushi
METDO Yasaidia Wazee Kituo cha Kiilima Mkoani Kagera

Kushoto ni Dkt Peter Shija Mganga Mfawidhi kutoka Zahanati ya Ibosa akisisitiza jambo kwa Afisa ustawi wa Jamii Wilaya ya Nyamagana ambaye pia ni katibu wa…

Continue Reading....

Rais Msaafu Mwinyi Aongoza Mahafali ya Chuo Kikuu Kampala, KIU

Posted on: November 27, 2016 - jomushi
Rais Msaafu Mwinyi Aongoza Mahafali ya Chuo Kikuu Kampala, KIU

   Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi akiwatunuku wahitimu wa kozi mbalimbali katika mahafali ya Chuo Kikuu cha Kampala cha…

Continue Reading....

TAMISEMI Yataka Serikali Izingatie Malengo ya Maendeleo Endelevu

Posted on: November 27, 2016 - jomushi
TAMISEMI Yataka Serikali Izingatie Malengo ya Maendeleo Endelevu

  MKURUGENZI wa Mifumo Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Henry Katabwa ametaka Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDG’s) kuhusishwa kwenye michakato ya maendeleo ya serikali za mitaa, hasa…

Continue Reading....

Kampuni ya SBL Yamzawadia Mteja wa Bia Pikipiki Mpya

Posted on: November 21, 2016November 21, 2016 - jomushi
Kampuni ya SBL Yamzawadia Mteja wa Bia Pikipiki Mpya

    Meneja Chapa wa Bia ya Pilsner, Isamba Kasaka  akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani ) wakati wa kukabidhi zawadi kwa  mshindi wa…

Continue Reading....

CAG Kutafuta ‘Madudu’ Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa, Mbeya

Posted on: November 21, 2016 - jomushi
CAG Kutafuta ‘Madudu’ Ujenzi wa Soko la Mwanjelwa, Mbeya

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesanu za serikali (CAG), anatarajia kuanza kufanya ukaguzi maalum katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya baada ya kudaiwa kuwepo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari