CCM Yafanya Mabadiliko Makubwa Chini ya Dk. Magufuli…!

  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imekutana leo tarehe 13/12/2016 jijini Dar es salaam kwa kikao cha siku moja cha kawaida. Kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa Taifa wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli. Pamoja na mambo mengine, Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imepokea taarifa ya Tathimini ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, …

JWTZ, Wanahabari Waliopanda Kilimanjaro Kusherehekea Miaka 55 Uhuru Watambuliwa

  Washiriki wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kusherehekea kumbukumbu ya Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara wakiwemo Askari Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na Waandishi wa Habari wakishuka baada  ya kupanda mlima huo kwa siku sita. Zoezi hilo limeongozwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mstaafu Jenerali George Witara (Mwenye fimbo mstari wa mbele) na …

Mkutano Mkuu TBN Wafungua Milango na Fursa kwa Bloggers Tanzania

Disemba 05 na 06 mwaka huu 2016 ulifanyika Mkutano Mkuu wa Waendeshaji/ Wamiliki wa Mitandao ya Kijamii nchini kupitia umoja wao wa Tanzania Bloggers Network TBN, uliofanyika ukumbi wa PSPF Jijini Dar es salaam. (Pichani anayezungumza na Mwenyekiti wa TBN) Siku ya kwanza ilikuwa mahususi kwa ajili ya semina kwa wanablogu hao juu ya namna ya kuendesha mitandao yao kwa …

Kampuni ya SBL Yakabidhi Mradi wa Maji Makanya, Same

  Mkuu wa wilaya ya same Bi Rosemary Semanyole akifurahi pamoja na baadhi ya viongozi wa serengeti breweries Limited .kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasialiano wa SBLJohn Wanyancha  mara baada ya uzinduzi wa mradi wa maji katika kijiji cha makanya..Hafla ya uzinduzi ilifanyika katika kijiji cha Makanya wilaya ya same mapema jana.     Baadhi ya wanakijiji wa same wakipata huduma ya maji …

Waziri Mkuu Majaliwa Azindua Mradi wa Umwagilia

Na Ferdinand Shayo,Arusha. Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amezindua mradi wa Umwagiliaji katika kijiji cha Jobag wilaya ya Karatu uliofadhiliwa na Shirika la Word vision ambao unahudumia ekari 1200 na kuwafikia wakulima 4000. Akizungumza katika uzinduzi wa Mradi huo ,Majaliwa amesema kuwa mradi huo utasaida kuchochea kilimo cha umwagiliaji hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mabadiliko ya tabia ya …

Waandishi wa Habari za Mitandao Wakutana

Mwenyekiti wa Chama Cha Wamiliki na Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii ‘Tanzania Bloggers Network (TBN) Joachim Mushi (kushoto) akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mawasiliano Nchini, Dk. Hassan Abbas kwenye Mkutano mkuu wa mwaka wa wanachama wa Bloggers Tanzania uliofanyika Jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Viongozi walioshiriki kwenye Mkutano mkuu wa mwaka wa wanachama wa Bloggers …