Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 610

Category: Habari za Nyumbani

Watuhumiwa Dawa za Kulevya JNIA Kujieleza Mbele ya Tume

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Watuhumiwa Dawa za Kulevya JNIA Kujieleza Mbele ya Tume

MKURUGENZI wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA), Moses Malaki, amesema watuhumiwa wa njama za kupitisha kilo 150 za dawa za kulevya aina…

Continue Reading....

Wafuasi wa Ponda Wapiga Kambi Segerea

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Wafuasi wa Ponda Wapiga Kambi Segerea

WAFUASI wa Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda wamepiga kambi katika Gereza la Segerea, Dar es Salaam wakitaka kumwona bila…

Continue Reading....

Mpango wa Ukusanyaji Damu Wavuka Malengo

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Mpango wa Ukusanyaji Damu Wavuka Malengo

MPANGO wa Taifa wa Damu Salama umevuka lengo la makusanyo ya damu katika kipindi cha mwezi Aprili hadi Juni mwaka huu kwa kukusanya chupa za…

Continue Reading....

Hoja Nne za Wabunge kwa Serikali Kudhibiti Mapato na Makusanyo

Posted on: August 19, 2013 - jomushi
Hoja Nne za Wabunge kwa Serikali Kudhibiti Mapato na Makusanyo

YAFUATAYO ni maazimio ya Mafunzo ya kamati za Bunge zinazosimamia fedha za umma na bajeti (PAC, LAAC NA BC) 1.) Kutokana na kutokuwepo na taarifa…

Continue Reading....

Chadema na Uhamasishaji Wananchi Ushiriki Rasimu ya Katiba Mpya Mwanza

Posted on: August 17, 2013August 17, 2013 - jomushi
Chadema na Uhamasishaji Wananchi Ushiriki Rasimu ya Katiba Mpya Mwanza

  Helikopta maalum iliyowabeba viongozi wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe pamoja…

Continue Reading....

Jukwaa la Serengeti Fiesta 2013 Lazinduliwa Rasmi Kigoma Leo

Posted on: August 17, 2013 - jomushi
Jukwaa la Serengeti Fiesta 2013 Lazinduliwa Rasmi Kigoma Leo

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Neylee akiimba kwa hisia kwenye jukwaa la tamasha la Serengeti Fiesta 2013,usiku huu kwenu uwanja wa Lake Tanganyika.  Sehemu ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari