Na Emanuel Madafa, JamiiMoja Mbeya MKAZI wa Iyunga jijini Mbeya ambaye amefahamika kwa jina moja la Rechal (13) amefariki dunia mara baada ya kugongwa na gari, namba T161 CPP Toyota LandCruiser inayodaiwa kumilikiwa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi maharufu kwa jina la (SUGU), kwenye kivuko cha barabara (ZEBRA) na kumsababishia kifo chake papo hapo. Tukio hilo …
Prof. Mgaya Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi Mkuu NIMR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 17 Desemba, 2016 amemteua Prof. Yunus D. Mgaya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Uteuzi wa Prof. Yunus D. Mgaya unaanza mara moja. Prof. Yunus D. Mgaya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Mwele Malecela ambaye uteuzi wake umetenguliwa. …
Namaingo Business Agency Kukabidhi Sungura kwa Wajasiliamali 2000
KAMPUNI ya Namaingo, kugawa sungura 600 kwa Wajasiriamali 2000 Dar es Salaam leo, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi huo mkubwa nchini. Mpango huo ulitangazwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Namaingo Business Agency, Biubwa Ibrahim katika mkutano na waandishi wa habari eneo la mradi huo wa Sungura eneo la Majohe, Dar es Salaam jana. Alisema kuwa walengwa watakaonufaika na mradi huo, …
Bwana Harusi Aingia Mitini Muda Mfupi Kabla ya Ndoa…!
UNAWEZA kusema kuwa mwisho wa mwaka 2016 huenda na matukio ya vioja. Kimetokea kituko cha aina yake katika Mitaa ya Isanga Jijini Mbeya Mkoa wa Mbeya mara baada ya bwanaharusi kuingia mitini masaa machache kabla ya kufunga ndoa. Tukio hilo la aina yake limeibua maswali mengi kwa ndugu jamaa na marafiki ambao walikuwa tayari kwa maandalizi ya kuhudhuria harusi hiyo kuanzia kanisani hadi ukumbini. Imeelezwa kuwa mipango …