KENYA imesema kuwa itafuata sera na mfumo wa udhibiti wa madini kama unaotumiwa na Tanzania kwa sababu mageuzi yaliyofanywa na Serikali ya Tanzania katika sekta…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Tusker Lite Yadhamini Usiku wa Maofisa Masoko Dar es Salaam ‘Marketer’s Night’
Mada mbalimbali zilitolewa na wataalamu wa masuala ya masoko kuwaongezea ujuzi wadau wa masuala ya masoko kutoka makampuni na taasisi anuai. Juu ni baadhi ya…
Continue Reading....Ongezeko la Kodi Kuathiri Ukuaji wa Sekta ya Usafirishaji
SEKTA ya Usafirishaji nchini inakabiliwa na changamoto kubwa na ipo katika tishio la kuanguka kutokana na kuongezwa kwa kodi mbali mbali zitokanazo na bajeti ya…
Continue Reading....Kamati Kuu ya CCM Taifa Kukutana Leo
KAMATI Kuu ya CCM Taifa itakutana Agosti 23, 2013 ikifuatiwa na Halmashauri Kuu keshokutwa asubuhi ambapo itakuwa kwa siku mbili. Ajenda Kuu ya Kamati Kuu itakuwa kujadili…
Continue Reading....Rwanda, Uganda Zajitoa Bandari ya Dar
CHAMA cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septemba Mosi, mwaka huu. Katibu Mtendaji…
Continue Reading....Rais Kikwete Apangua Makatibu Wakuu na Manaibu
Na Magreth Kinabo, Maelezo – Dar es Salaam RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya uongozi kwenye ngazi za juu za utendaji wa Serikali kwa nafasi…
Continue Reading....