Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 599

Category: Habari za Nyumbani

Shuhudia Burudani Anuai Ndani ya Tamasha la Jinsia Dar

Posted on: September 6, 2013September 6, 2013 - jomushi
Shuhudia Burudani Anuai Ndani ya Tamasha la Jinsia Dar

Ngongoti na ngoma…! Pichani ni moja ya vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitoa burudani katika maadhimisho ya Tamasha la Jinsia Tanzania vikitoa burudani.

Continue Reading....

Matukio Siku ya Tatu Tamasha la Jinsia Tanzania

Posted on: September 5, 2013September 6, 2013 - jomushi
Matukio Siku ya Tatu Tamasha la Jinsia Tanzania

             Mgeni rasmi na Mwanaharakati kutoka nchini Uganda, Bi. Miriam Mutembe akisalimia waalikwa wengine wa tamasha la jinsia. Baadhi ya…

Continue Reading....

Tamasha la 11 la Mtandao wa Kijinsia: Rasimu yapewa Kipaumbele

Posted on: September 5, 2013September 8, 2013 - jomushi
Tamasha la 11 la Mtandao wa Kijinsia:  Rasimu yapewa Kipaumbele

Na Deogratius Temba MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba nchini, Deus Kibamba, amewataka wanawake nchini kutokubali  kuipigia kura rasimu ya katiba mpya iwapo maoni mbalimbali yaliyotolewa na wanawake hasa…

Continue Reading....

Kinana Kuwasha Moto Kanda ya Ziwa

Posted on: September 5, 2013 - jomushi
Kinana Kuwasha Moto Kanda ya Ziwa

NA MWANDISHI WETU KATIBU MKUU wa Chama Cha Mapinduzi, Abdulrahaman Kinana, wiki ijayo ataanza ziara ya kikazi katika mikoa ya Shinyanga, Mara na Simiyu. Akizungumza…

Continue Reading....

Jerry Silaaa Akabidhi Magodoro 50 Muhimbili

Posted on: September 5, 2013September 5, 2013 - jomushi
Jerry Silaaa Akabidhi Magodoro 50 Muhimbili

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa akiwa ameongozana na Mwenyekiti wa kikundi cha Neema Womans Power  Bi.Maryam Dedes kuelekea kwenye chumba cha…

Continue Reading....

Mnigeria Adakwa na Dawa za Kulevya Dar es Salaam

Posted on: September 5, 2013 - jomushi
Mnigeria Adakwa na Dawa za Kulevya Dar es Salaam

MWANAMKE ambaye ni raia wa Nigeria, amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akiwa na kete 99 za dawa za kulevya.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari