Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 593

Category: Habari za Nyumbani

Serikali Itaendelea Kuimarisha Utawala Bora – Pinda

Posted on: September 18, 2013 - jomushi
Serikali Itaendelea Kuimarisha Utawala Bora – Pinda

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wabia wa maendeleo ili kuimarisha utawala bora na hatimaye kusaidia kuboresha utoaji wa…

Continue Reading....

Serikali yaagiza Ununuzi wa Mahindi Safi na Bora

Posted on: September 18, 2013 - jomushi
Serikali yaagiza Ununuzi wa Mahindi Safi na Bora

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe. William V. Lukuvi amewaeleza wakala wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kuzingatia ubora na…

Continue Reading....

Rais Kikwete : Acheni kuisema, kuikejeli nchi yetu, iteteeni

Posted on: September 17, 2013 - Rungwe Jr.
Rais Kikwete : Acheni kuisema, kuikejeli nchi yetu, iteteeni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewataka Watanzania kuisemea, kuijenga na kuitetea nchi yao badala ya kushiriki katika kuikejeli na…

Continue Reading....

Hatuwezi kuendelea kuomba misaada na hisani – Rais Kikwete

Posted on: September 17, 2013 - Rungwe Jr.
Hatuwezi kuendelea kuomba misaada na hisani – Rais Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Tanzania haiwezi kuendelea kuwa nchi ya kuomba na kupokea misaada na hisani…

Continue Reading....

Hatutawatetea wabeba dawa za kulevya – Rais

Posted on: September 17, 2013 - Rungwe Jr.
Hatutawatetea wabeba dawa za kulevya – Rais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Serikali yake haitawatetea Watanzania wanaokamatwa wamebeba dawa za kulevya nje ya nchi…

Continue Reading....

Wafanyabiashara wa Mahindi Walia na Mtangamano wa EAC

Posted on: September 17, 2013September 18, 2013 - jomushi
Wafanyabiashara wa Mahindi Walia na Mtangamano wa EAC

Na Mtuwa Salira WAFANYABIASHARA WA MAHINDI katika mji mdogo wa Himo, uliopo km 10 kutoka kituo cha Holili, mpakani mwa Kenya na Tanzania mkoani Kilimanjaro,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari