Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 588

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete Awataka Wafadhili Kutoa Fedha za Malengo ya Milenia

Posted on: September 25, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Awataka Wafadhili Kutoa Fedha za  Malengo ya Milenia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewataka wabia wa maendeleo wa nchi masikini kutimiza ahadi zao kama njia ya uhakika kuhakikisha…

Continue Reading....

Pori Tengefu Haligawanywi -Pinda

Posted on: September 25, 2013September 25, 2013 - jomushi
Pori Tengefu Haligawanywi -Pinda

SERIKALI imetengua tamko lilitolewa Machi 19, mwaka huu na Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki la kupunguza ukubwa wa pori tengefu la Loliondo…

Continue Reading....

Mama Salma Akiomba Chuo cha Monmouth Kufundisha Kishwahili

Posted on: September 25, 2013September 25, 2013 - jomushi
Mama Salma Akiomba Chuo cha Monmouth Kufundisha Kishwahili

Na Anna Nkinda – New York Mama Salma Kikwete amekiomba chuo kikuu cha Monmouth cha mjini New Jersey nchini Marekani kufundisha wanafunzi wake lugha ya…

Continue Reading....

Rais Kenyatta Alihutubia Taifa Kuhusu Uvamizi, Atangaza Siku Tatu za Maombolezo

Posted on: September 24, 2013September 24, 2013 - jomushi
Rais Kenyatta Alihutubia Taifa Kuhusu Uvamizi, Atangaza Siku Tatu za Maombolezo

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amelihutubia Taifa Usiku huu huku akitangaza siku tatu za maombolezo kuanzia Kesho na bendera kupepea nusu mlingoti, nchi nzima. Rais…

Continue Reading....

Hakuna Uporaji wa Ardhi ya Wakulima Unaofanywa na Serikali – Kikwete

Posted on: September 24, 2013September 24, 2013 - jomushi
Hakuna Uporaji wa Ardhi ya Wakulima Unaofanywa na Serikali – Kikwete

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa hakuna uporaji wowote wa ardhi unaofanywa na Serikali yake dhidi ya ardhi…

Continue Reading....

Profesa Mwandosya Aitabiria Mema Tanzania

Posted on: September 24, 2013 - jomushi
Profesa Mwandosya Aitabiria Mema Tanzania

Na Magreth Kinabo – Maelezo WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais (Kazi maalumu), Profesa Mark Mwandosya amesemwa Tanzania itafikia maendeleo ya hali ya juu ifikapo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari