Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 545

Category: Habari za Nyumbani

Nelson Mandela Kuzikwa Kijijini Qunu Desemba 15, Mazishi Yake Haijawahi Tokea…!

Posted on: December 7, 2013 - jomushi
Nelson Mandela Kuzikwa Kijijini Qunu Desemba 15, Mazishi Yake Haijawahi Tokea…!

RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amesema kuwa Hayati Nelson Mandela anatarajiwa kuzikwa Desemba 15 ya Jumapili katika Kijiji cha Qunu Mkoa wa Eastern Cape,…

Continue Reading....

Vijana Watakiwa Kujitolea na Kuwa Chachu ya Maendeleo

Posted on: December 5, 2013 - jomushi
Vijana Watakiwa Kujitolea na Kuwa Chachu ya Maendeleo

Na Genofeva Matemu, Maelezo- Dar es Salaam VIJANA wametakiwa kuwa na moyo wa kujitolea katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo kwani swala la kujitolea hutoka ndani…

Continue Reading....

STAMICO Yaingia Mkataba na Tanzanite One

Posted on: December 5, 2013 - jomushi
STAMICO Yaingia Mkataba na Tanzanite One

SHIRIKIZO la Madini la Taifa (STAMICO) limeingia mkataba wa ubia na Kampuni ya TanzaniteOne Mining Limited [Tanzanite One] kuhusu uchimbaji wa pamoja wa madini, ya…

Continue Reading....

EAC Bado Inakazi Kubwa kwa Wakazi wa Holili na Miji Mingine ya Mipakani

Posted on: December 5, 2013 - jomushi
EAC Bado Inakazi Kubwa kwa Wakazi wa Holili na Miji Mingine ya Mipakani

  Na MtuwaSalira, EANA   HOLILI ni Mji mdogo wenye wakazi wapatao 7,400 ulipo Kaskazini ya Tanzania mkoani Kilimanjaro, ukiwa umepakana na wilaya ya Taveta…

Continue Reading....

Mahafali ya Kwanza Chuo Kikuu cha Bagamoyo Kufanyika Dar

Posted on: December 5, 2013 - jomushi
Mahafali ya Kwanza Chuo Kikuu cha Bagamoyo Kufanyika Dar

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB), Profesa Costa Ricky Mahalu amesema mahafali ya kwanza ya kihistoria ya chuo hicho, yanatarajia kufanyika Jumamosi ya…

Continue Reading....

Katibu CWT Aibuka Kidedea Kwenye Pambika na Samsung

Posted on: December 4, 2013 - jomushi
Katibu CWT Aibuka Kidedea Kwenye Pambika na Samsung

KATIBU wa Chama cha Walimu wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Bw. Adagoti Komba Daudi ameibuka mmoja ya washindi 15 wenye bahati katika droo ya tatu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari