Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 542

Category: Habari za Nyumbani

Pambika na Samsung Yamzawadia Mkazi Dar Mashine ya Kufulia

Posted on: December 12, 2013 - jomushi
Pambika na Samsung Yamzawadia Mkazi Dar Mashine ya Kufulia

KATIKA kuhakikisha inaendelea kutimiza ahadi zake za kuwazawadia wateja wake, kampuni ya Samsung Tanzania imefanya hafla fupi ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa droo ya…

Continue Reading....

JK Katika Msiba wa Nelson Mandela Afrika Kusini

Posted on: December 12, 2013 - jomushi
JK Katika Msiba wa Nelson Mandela Afrika Kusini

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Desemba 10, 2013, aliungana na viongozi wa mataifa mbali mbali duniani na maelfu ya wananchi…

Continue Reading....

Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ipo Huru; Jaji Lubuva

Posted on: December 12, 2013 - jomushi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ipo Huru;  Jaji Lubuva

Na Magreth Kinabo   MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa tume hiyo iko huru na si kweli kwamba…

Continue Reading....

Zitto Akata Rufaa Kupinga Kamati Kuu Chadema Kumvua Uongozi

Posted on: December 12, 2013 - jomushi
Zitto Akata Rufaa Kupinga Kamati Kuu Chadema Kumvua Uongozi

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe (MB) amewasilisha barua ya kupinga uamuzi wa Kamati Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Continue Reading....

Kampuni ya MeTL Kuinua Vipaji kwa Vijana Tanzania

Posted on: December 10, 2013 - jomushi
Kampuni ya MeTL Kuinua Vipaji kwa Vijana Tanzania

KAMPUNI YA MOHAMMED ENTERPRISES (MeTL) Tanzania kwa kushirikiana Ledger Plaza Bahari Beach wamezindua maonyesho ya elimu ya mwaka kwa watoto nchini yenye kushindaniwa zawadi mbalimbali…

Continue Reading....

Rais Kikwete Ashiriki Misa ya Kumuombea Marehemu Mandela

Posted on: December 10, 2013December 10, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Ashiriki Misa ya Kumuombea Marehemu Mandela

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Desemba 10, 2013, ameungana na viongozi wa mataifa mbali mbali duniani na maelfu ya wananchi wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari