RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli, kesho tarehe 25 /01/2017 anatarajiwa kuzindua Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Afikishwa Mahakamani kwa Kumjeruhi na Chupa Mkewe
Na Woinde Shizza, ArushaMFANYABIASHARA maarufu wa madini jijini Arusha, Venance Moshi (30) amefikishwa mahakamani na kusomewa maelezo ya awali katika kesi inayomkabili ya kushambulia na kumjeruhi mkewe…
Continue Reading....TTCL YAZINDUWA HUDUMA YA 4G LTE MKOANI MWANZA
KAMPUNI ya Simu Tanzania TTCL, imezindua Huduma za TTCL 4G LTE katika Jiji la Mwanza siku ya…
Continue Reading....Kamati ya Taifa Matumizi ya Bioteknolojia Salama Yaridhika na Utafiti wa Mahindi…!
Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi, Hussein Mansour akizungumza katika mkutano huo wakati akiwakaribisha wajumbe wa NBC katika kituo…
Continue Reading....AU Kujadili Madai ya Haki za Ardhi kwa Wanawake Barani Afrika
Meneja wa Haki za Wanawake kutoka Actionaid Tanzania, Scholastica Haule akionesha nakala yenye madai hayo kwa vyombo vya habari walipokutana kumpongeza Mjumbe…
Continue Reading....Watakiwa Kujitokeza Kuchagua Madiwani, Mbunge
Na Aron Msigwa –NEC, Zanzibar TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wananchi wanaoishi katika kata 19 zitakazofanya Uchaguzi mdogo wa Madiwani kwa upande Tanzania…
Continue Reading....