Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 527

Category: Habari za Nyumbani

CCM, Chadema Wazinduwa Kampeni za Udiwani Moshi

Posted on: January 21, 2014January 21, 2014 - jomushi
CCM, Chadema Wazinduwa Kampeni za Udiwani Moshi

Na Mwandishi Wetu, Moshi CHAMA cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mwishoni mwa wiki walifanya uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi mdogo…

Continue Reading....

Ajali Zauwa 22, Singida na Lindi, Rais Atuma Rambirambi

Posted on: January 20, 2014 - jomushi
Ajali Zauwa 22, Singida na Lindi, Rais Atuma Rambirambi

WATU 22 wamefariki dunia wakiwemo watoto 3 na zaidi ya 30 kujeruhiwa baada ya magari waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika mikoa ya Singida na Lindi.…

Continue Reading....

JK Awaapisha Mawaziri Wapya Aliowateuwa Juzi

Posted on: January 20, 2014 - jomushi
JK Awaapisha Mawaziri Wapya Aliowateuwa Juzi

RAIS wa Tanzania leo amewaapisha mawaziri na ma-naibu waziri aliowateuwa jana katika mabadiliko mapya ya panguapangua kwenye baraza hilo ili kuziba nafasi zilizoachwa wazi na…

Continue Reading....

Pinda Ataka Kila Halmashauri Iunde Vikundi vya Ujenzi vya Vijana

Posted on: January 20, 2014 - jomushi
Pinda Ataka Kila Halmashauri Iunde Vikundi vya Ujenzi vya Vijana

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amezitaka Halmashauri zote 160 za Miji na Wilaya zilizoko nchini kuhakikisha zinaunda vikundi vya vijana vya ujenzi wa nyumba nafuu (building…

Continue Reading....

Rais Kikwete Apangua Baraza la Mawaziri…!

Posted on: January 19, 2014 - jomushi
Rais Kikwete Apangua Baraza la Mawaziri…!

*Migiro, Jenista, Nkamia, Nyalandu na Saada waula RAIS wa Tanzania Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya baraza la mawaziri kwa kuteuwa mawaziri wapya pamoja na manaibua…

Continue Reading....

Pinda Aridhishwa na Ukarabati Jengo la Bunge la Katiba

Posted on: January 18, 2014 - jomushi
Pinda Aridhishwa na Ukarabati Jengo la Bunge la Katiba

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema ameridhishwa na kazi ya ukarabati inayoendelea kwenye maeneo mbalimbali ya jengo la Bunge ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya Bunge…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari