Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi amefanya ziara ya kikazi Wilaya ya Mkalama na kuagiza watendaji kusimamia miradi kwa umakini kwakuwa hataki kusikia…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Serikali Kutumbua Wahujumu wa TAZARA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali haitamvumilia mtumishi yoyote ambaye ataendelea kuisababishia hasara Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia…
Continue Reading....Wakulima Zaidi ya 60,000 Kunufaika na Mradi wa AMDT
Na.Vero Ignatus -Arusha. Taasisi ya kuendeleza mifumo ya kimasoko katika kilimo Tanzania (AMDT)imewataka wakulima kubadilisha kilimo kuwa biashara ,waondokane na kilimo cha kawaida na kuwa…
Continue Reading....RC Ataka Malighafi za Kilimo Kuuzwa kwa Gharama Ndogo!.
Imeelezwa kuwa teknolojia duni,rasilimali fedha,malighafi kuwa juu, uhaba wa mvua unaotokana na uharibifu wa mazingira ndio changamoto kubwa inayomkabili mkulima wa Tanzania kutofikia malengo ya…
Continue Reading....Dk Magufuli kuwa Mgeni Rasmi Siku ya Sheria Nchini
Benjamin Sawe -Maelezo. Rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Sheria nchini zitakazofanyika mwanzoni mwa mwezi ujao…
Continue Reading....Jaji Lubuva Akabidhi Taarifa ya Utendaji miaka 5 kwa Mwenyekiti Mpya
Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva akizungumza na Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Sekretarieti ya Tume…
Continue Reading....