Na Veronica Kazimoto na Aron Msigwa – Morogoro WADADISI na Wahariri wa madodoso ya Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi mwaka 2014 wametakiwa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Maria: Mume Wangu Aliiongopea Mahakama Ikavunja Ndoa Yetu
Nkasi, Rukwa NOVEMBA 18, 2013 Mahakama ya mwanzo, Namanyere, Wilaya ya Nkasi iliamua kuvunja ndoa ya Ndebile Kazuri na Bi. Maria Tarafa wote wakazi wa…
Continue Reading....IGP Mangu Apangua Jeshi la Polisi, Abadili Makamanda…!
Na Mwandishi Wetu MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu ameanza kufanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa,…
Continue Reading....CRDB Watoa Milioni 100 Kusaidiwa Wahanga Morogoro
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete Februari 4, 2014, amepokea hundi ya Sh. milioni 100 kutoka Benki ya CRDB kusaidia wahanga…
Continue Reading....Ukame Watishia Njaa Wilayani Rombo
Na Yohane Gervas, Rombo WILAYA ya Rombo ipo hatarini kukumbwa na njaa kutokana na mazao ya wakulima kukauka kufuatia ukame uliosababishwa na uhaba wa mvua…
Continue Reading....Polisi Wakamata Kilo 200 za Heroini Baharini Dar
KIKOSI kazi cha Jeshi la Polisi cha Kudhibiti Uharamia Baharini kimekamata kilo 201 za dawa za kulevya aina heroini zilizokuwa zikiingizwa nchini kutoka Iran. Kamishna…
Continue Reading....