Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 42

Category: Habari za Nyumbani

Bodaboda Arusha Waua Mtu Baada ya Kumfananisha

Posted on: March 7, 2017 - jomushi
Post Tags: bodaboda
Bodaboda Arusha Waua Mtu Baada ya Kumfananisha

Na Vero Ignatus, Arusha MTU moja ambaye jina lake hajijafahamika ameuawa na wananchi wenye hasira kali huko maeneo ya kwa Mrombo Jijini Arusha, akidhaniwa kuwa ni mwizi wa…

Continue Reading....

Waziri Mbarawa Awataka TEMESA Kuongeza Ujuzi Utengenezaji wa Vivuko

Posted on: March 7, 2017 - jomushi
Waziri Mbarawa Awataka TEMESA Kuongeza Ujuzi Utengenezaji wa Vivuko

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameutaka uongozi wa Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA) kushiriki kikamilifu shughuli za matengenezo ya…

Continue Reading....

Naibu Waziri Injinia Ngonyani Aridhishwa na Kasi ya Utendaji wa TBA

Posted on: March 1, 2017 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Ujenzi
Naibu Waziri Injinia Ngonyani Aridhishwa na Kasi ya Utendaji wa TBA

NAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng. Edwin Ngonyani ameupongeza Wakala wa Majengo Nchini (TBA), kwa jitihada wanazozifanya katika kuongeza mapato na kununua vifaa…

Continue Reading....

Waziri Dk Tizeba Kufungua Kongamano la Sera za Kilimo

Posted on: March 1, 2017March 1, 2017 - jomushi
Waziri Dk Tizeba Kufungua Kongamano la Sera za Kilimo

  Enles Mbegalo WAZIRI wa Kilimo, Chakula, Mifugo na Uvuvi Dk. Charles Tizeba (pichani), anatarajia kufungua kongamano la siku  tatu la wadau wa sera za kilimo…

Continue Reading....

TMA yatoa utabiri wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017

Posted on: February 28, 2017 - jomushi
Post Tags: Hali ya hewa
TMA yatoa utabiri wa mvua za masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2017

    MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi leo ametoa utabiri wa msimu wa mvua za masika kuanzia…

Continue Reading....

Prof Waziri Mbarawa Uso kwa Uso na Bodi ya AfDB

Posted on: February 27, 2017February 27, 2017 - jomushi
Prof Waziri Mbarawa Uso kwa Uso na Bodi ya AfDB

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa ameiomba Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Maendeleo Africa (AfDB), kuendelea kuiunga mkono Tanzania katika mkakati…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari