PIKINIKI zinazofanywa na watu mbalimbali katika fukwe zilizoko kwenye ukanda wa utalii visiwani Zanzibar, zinachangia uharibifu mkubwa wa mazingira unaotishia kuwakimbiza watalii. Shughuli ya kusafisha mazingira iliyofanywa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Kamati ya Bunge ya Miundombinu yaitaka Serikali kuwa mfano kutumia huduma za TTCL
Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Taasisi za Serikali na Mashirika yote ya Umma kutumia kituo cha kutunzia…
Continue Reading....Kongamano la Maadili Kufanyika Uwanja wa Taifa Dar
Naibu Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Anastazia Wambura (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kongamano la maadili…
Continue Reading....ESRF Yazinduwa Ripoti ya Namna ya Kuboresha Viwanda Nchini
Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF) kwa kushirikiana na CUTS International Geneva kupitia ufadhili wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo Sweden (SIDA), wamezindua…
Continue Reading....Mkurugenzi Clouds Media Group Athibitisha Kituo Kuvamiwa
MKURUGENZI wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds, Ruge Mutahaba amethibitisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuvamia ofisi zao akiwa na…
Continue Reading....