Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 343

Category: Habari za Nyumbani

Wakristo Zaidi Watekwa Nyara

Posted on: February 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Islamic State, Syria, Wakristo
Wakristo Zaidi Watekwa Nyara

HOFU imetanda baada ya uwepo wa taarifa kuwa raia Wakristo kutoka Syria wametekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State. Taariza zaidi kutoka kwa jamii hiyo…

Continue Reading....

Benki ya Posta Kuunga Matawi Yote na Mkongo

Posted on: February 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Benki ya Posta, Mkongo wa Taifa
Benki ya Posta Kuunga Matawi Yote na Mkongo

Na Mwandishi Wetu BENKI ya Posta Tanzania (TPB) imedhamiria kuunganisha matawi yake yote katika mfumo wa kisasa wa mawasiliano kupitia mkongo wa mawasiliano nchini (Fiber…

Continue Reading....

JK Atuma Salamu za Pongezi kwa Askofu Liberatus Sangu

Posted on: February 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Askofu
JK Atuma Salamu za Pongezi kwa Askofu Liberatus Sangu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Pongezi Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (T.E.C) na Askofu…

Continue Reading....

Rais Kikwete Aelekea Zambia Kikazi

Posted on: February 25, 2015February 25, 2015 - jomushi
Rais Kikwete Aelekea Zambia Kikazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka leo tarehe 25 Februari, 2015 kuelekea Lusaka Zambia kwa ajili ya ziara…

Continue Reading....

Wanahabari Wafundwa kuhusu Haki za Watoto, Kilimanjaro

Posted on: February 25, 2015February 25, 2015 - jomushi
Wanahabari Wafundwa kuhusu Haki za Watoto, Kilimanjaro

Codes    Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo  Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini  Mmoja wa  washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo…

Continue Reading....

Thamani ya Uhai Haikadiriki…!

Posted on: February 23, 2015 - jomushi
Post Tags: Mwanadamu, Uhai
Thamani ya Uhai Haikadiriki…!

WANASAYANSI wanakadiria kuwa inagharimu zaidi ya dola za marekani trilioni elfu sita kuiga tishu na viungo vya mwili wa binadamu. Gharama hiyo ni mara 77…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari