Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 337

Category: Habari za Nyumbani

Mkuu wa Wilaya Kinondoni Afanya Ziara ya Kushtukiza Hospitali

Posted on: March 11, 2015 - jomushi
Post Tags: uhaba wa vitanda
Mkuu wa Wilaya Kinondoni Afanya Ziara ya Kushtukiza Hospitali

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akiongea na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina, Dkt. Benedicto Luoga iliyopo Sinza jijini Dar es Salaama mara…

Continue Reading....

Zitto Kabwe Njiapanda, Chadema Wamfukuza

Posted on: March 11, 2015 - jomushi
Post Tags: Afukuzwa, Chadema, Zitto Kabwe
Zitto Kabwe Njiapanda, Chadema Wamfukuza

HALI ya kisiasa ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe imewekwa njiapanda baada ya Chadema kutangaza kumvua uanachama saa chache baada ya Mahakama Kuu kutupilia…

Continue Reading....

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

Posted on: March 10, 2015March 10, 2015 - jomushi
Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akitoa salamu za Umoja wa Mataifa kwenye…

Continue Reading....

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

Posted on: March 10, 2015 - jomushi
Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akitoa salamu za Umoja wa Mataifa kwenye…

Continue Reading....

NSSF Washiriki Mbio za Kilimanjaro Marathon

Posted on: March 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Kilimanjaro, Marathon, NSSF
NSSF Washiriki Mbio za Kilimanjaro Marathon

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeshiriki kwenye Mbio za nyika za zinazoendelea kuwa maarufu mwaka hadi mwaka Kilimanjaro ambazo zimefanyika kwa mwaka…

Continue Reading....

UNESCO Wafadhili Kozi Kuboresha Mitaala ya Elimu Afrika

Posted on: March 9, 2015 - jomushi
Post Tags: Elimu Afrika, Mitaala, UNESCO
UNESCO Wafadhili Kozi Kuboresha Mitaala ya Elimu Afrika

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari