Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 239

Category: Habari za Nyumbani

Pinda Afungua Mkutano wa Majaji wa Haki za Binadamu Afrika

Posted on: November 5, 2015November 5, 2015 - jomushi

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali ya Tanzania imepania kuboresha upatikanaji wa haki kwa raia kwa kusogeza huduma za mahakama karibu na wananchi. “Tumeusaidia mhimili…

Continue Reading....

Mtoto wa Dk Kigoda Sasa Rasmi Mgombea Ubunge Handeni

Posted on: November 5, 2015 - jomushi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Omary Abdallah Kigoda ambaye ni mtoto wa marehemu Dk. Abdallah Kigoda kuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Handeni Mjini. Omary…

Continue Reading....

Nimapumziko ya Kiapo cha Rais…!

Posted on: November 5, 2015November 5, 2015 - jomushi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ameamua na ameitangaza, Novemba 5, mwaka huu, 2015, kuwa Sikukuu na siku ya mapumziko.…

Continue Reading....

JK Aanza Kutafuta Suluhu Zanzibar, Azungumza na Maalim Seif

Posted on: November 4, 2015November 5, 2015 - jomushi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Novemba 4, 2015, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chama cha Civic United…

Continue Reading....

Dk. Magufuli Ampokea TB Joshua

Posted on: November 3, 2015 - admin
Dk. Magufuli Ampokea TB Joshua

Rais mteule Dk John Pombe Magufuli alimpokea mhuburi TB Joshua uwanja wa ndege wa JK Nyerere leo jioni. Mhubiri ameambatana na watu 40 katika msafara…

Continue Reading....

CCM Yaanza Mchakato Kumsaka Mrithi wa Dk Kigoda Handeni

Posted on: November 3, 2015 - jomushi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza mchakato wa kumtafuta mwanaCCM ambaye atasimama kwa tiketi ya chama kugombea Jimbo la Handeni ambalo lilikuwa likigombewa na marehemu Dk.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari