Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 237

Category: Habari za Nyumbani

Walimu Dar Waidai Serikali Bilioni 1.1 Madai Anuai

Posted on: November 11, 2015 - jomushi
Post Tags: Walimu

Amina Kisenge Na Dotto Mwaibale   WALIMU wa Mkoa wa Dar es Salaam wanaidai Serikali jumla ya sh. Bilioni 1.1 za madai yao mbalimbali kwa…

Continue Reading....

Rungu la Dk. Magufuli Lamuangukia Mkurugenzi Muhimbili

Posted on: November 9, 2015November 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Muhimbili

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli, leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na…

Continue Reading....

Prof. Elisante Ole Gabriel Avipongeza Vyombo vya Habari

Posted on: November 9, 2015November 9, 2015 - jomushi
Prof. Elisante Ole Gabriel Avipongeza Vyombo vya Habari

Na Mwandishi Maalum – Maelezo KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel amevipongeza vyombo vya habari nchini kwa…

Continue Reading....

DAWASCO Yakanusha Kusambaza Maji ya Kinyesi

Posted on: November 9, 2015November 9, 2015 - jomushi
Post Tags: Dawasco
DAWASCO Yakanusha Kusambaza Maji ya Kinyesi

KAIMU Meneja Uhusiano wa Dawasco, Everlasting Lyaro amekanusha kampuni hiyo kuhusika katika usambazaji maji yanayodaiwa si salama na kuwa na vimelea vya wadudu (kinyesi). Kwa…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Afuta Safari za Majuu, Watendaji Kwenda Vijijini kwa Wananchi

Posted on: November 8, 2015 - jomushi
Post Tags: Huduma za Maji Vijijini
Rais Dk Magufuli Afuta Safari za Majuu, Watendaji Kwenda Vijijini kwa Wananchi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amefuta safari zote za nje ya nchi kwa sasa na badala yake kuwataka watendaji…

Continue Reading....

Breaking Newz; Mkurugenzi Mkuu LHRC, Dk. Kijo Bisimba Apata Ajali Dar

Posted on: November 8, 2015 - jomushi
Post Tags: Ajali Dk. Kijo Bisimba
Breaking Newz; Mkurugenzi Mkuu LHRC, Dk. Kijo Bisimba Apata Ajali Dar

MKURUGENZI Mkuu wa Kituo cha Msaada wa Sheria na Haki za Binadamu, Dk. Hellen Kijo Bisimba amepata ajali leo jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari