Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 236

Category: Habari za Nyumbani

Mashine ya MRI Muhimbili Yaanza Kufanya Kazi

Posted on: November 11, 2015November 11, 2015 - jomushi
Post Tags: Hospitali ya Muhimbili
Mashine ya MRI Muhimbili Yaanza Kufanya Kazi

HATIMAYE mashine aina ya Magnetic Reasonance Imaging (MRI) iliyokuwa imesimama kwa muda wa miezi miwili kiasi cha kuleta kero kwa wagonjwa katika Hospitali ya Taifa…

Continue Reading....

Samuel Sitta Auomba U-spika wa Bunge la Tanzania Tena

Posted on: November 11, 2015 - jomushi
Samuel Sitta Auomba U-spika wa Bunge la Tanzania Tena

ALIYEKUWA Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samuel Sitta amejitokeza kuomba…

Continue Reading....

Polisi Dar Wawanasa 7 Wakiwa na Bunduki 8

Posted on: November 11, 2015 - jomushi
Post Tags: Askari Polisi Dar

Na Lilian Lundo – Maelezo JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 7 wakiwa na silaha 8 na risasi 62…

Continue Reading....

NEC Yatangaza Tarehe za Uchaguzi wa Ubunge na Udiwani Uliohairishwa

Posted on: November 11, 2015November 11, 2015 - jomushi
Post Tags: Tume ya Uchaguzi
NEC Yatangaza Tarehe za Uchaguzi wa Ubunge na Udiwani Uliohairishwa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza tarehe za Uchaguzi wa Ubunge na Udiwani katika Jimbo na Kata ambazo hazikufanya Uchaguzi uliofanyika tarehe 25 Octoba…

Continue Reading....

Ban Ki Moon wa UN Ampongeza Rais Dk John Magufuli

Posted on: November 11, 2015November 11, 2015 - jomushi
Post Tags: EU na UN
Ban Ki Moon wa UN Ampongeza Rais Dk John Magufuli

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Bw. Ban Ki Moon ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John…

Continue Reading....

TTCL Yawaumbua TEWUTA, Yadai ni Wapotoshaji Wenye Maslahi Binafsi

Posted on: November 11, 2015November 11, 2015 - jomushi
Post Tags: TTCL
TTCL Yawaumbua TEWUTA, Yadai ni Wapotoshaji Wenye Maslahi Binafsi

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imepinga madai yaliyotolewa na Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Mawasiliano Tanzania (TEWUTA)…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari