Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 231

Category: Habari za Nyumbani

Maambukizi ya UKIMWI kwa Vijana Yaongezeka Tanzania

Posted on: November 25, 2015 - jomushi
Post Tags: Siku ya UKIMWI
Maambukizi ya UKIMWI kwa Vijana Yaongezeka Tanzania

 Mkurugenzi wa Uendeshaji Programu wa Taasisi ya Tunajali, Dk. Mussa Ndile akizungumza katika mkutano huo.  Wanahabari wakichukua taarifa hiyo. Wadau wa masuala ya Ukimwi wakiwa…

Continue Reading....

CHAVITA Yasikitikia Ushiriki Mdogo wa Viziwi Uchaguzi Mkuu

Posted on: November 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Walemavu
CHAVITA Yasikitikia Ushiriki Mdogo wa Viziwi Uchaguzi Mkuu

Na Zawadi Msalla CHAMA Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) kimesikitishwa na kitendo cha ushiriki mbovu wa Viziwi katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba kote…

Continue Reading....

Kesi ya Mgogoro wa Mazishi ya Kiongozi wa Chadema Mwanza

Posted on: November 24, 2015November 24, 2015 - jomushi
Kesi ya Mgogoro wa Mazishi ya Kiongozi wa Chadema Mwanza

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema kimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, ili kuiomba Mahakama hiyo kutengua zuio la kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa chama hicho…

Continue Reading....

Wasindikaji Wadogo wa Mafuta ya Alizeti Walalamikia Mbegu

Posted on: November 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Mafuta ya alizeti
Wasindikaji Wadogo wa Mafuta ya Alizeti Walalamikia Mbegu

Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya alizeti cha Glory Farm & Agricultural Products, Justin Nyamoga akitoa maelezo jinsi kiwanda hicho kinavyofanya kazi zake…

Continue Reading....

Kaskazini Wazungumzia Maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili

Posted on: November 24, 2015November 24, 2015 - jomushi
Kaskazini Wazungumzia Maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili kanda ya Kaskazini na Meneja Miradi wa Shirika lisilo la kiserikali la NAFGEM,…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Aendelea ‘Kuichonga’ Serikali, Afuta 9 Desemba

Posted on: November 24, 2015 - jomushi
Post Tags: Rais Dk Magufuli
Rais Dk Magufuli Aendelea ‘Kuichonga’ Serikali, Afuta 9 Desemba

*Aigeuza 9 Desemba kuwa Uhuru na Kazi RAIS wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli ameendelea kufanya mabadiliko ndani ya serikali yake…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari