Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kulia) akipokea tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Kike wa Mwaka 2015 (Business Women of the Year…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Wanafunzi Bora Chuo Kikuu cha Ardhi Wazawadiwa…!
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrisa Mshoro akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi wa mwaka wa nne aliyefanya vizuri katika masomo yake kwa…
Continue Reading....Hatari: Homa ya Nguruwe Yaibuka Mwanza
KUMETOKEA mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Nguruwe (African Swine Fever) Wilaya ya Nyamagana, Kata za Mabatini, Mirongo kishiri na Buhongwa na Igoma. Mlipuko huu…
Continue Reading....Madiwani Dar na Mwanza Waapishwa, Uchaguzi Wavurugika…!
Baadhi ya Madiwani kutoka katika Majimbo ya Ilala,Ukonga na Segerea wakila kiapo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama Wilaya ya Ilala Mhe: Adelf Sachore (hayupo…
Continue Reading....Askari 482 Jeshi la Zimamoto Wahitimu Mafunzo ya Awali
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbaraka Abdulwakili akikagua gwaride la askari wahitimu wa mafunzo ya awali ya Jeshi la Zimamoto…
Continue Reading....Rais Magufuli Atangaza Baraza la Mawaziri…!
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri litakalomsaidia kutekeleza majukumu yake. Baraza hilo lina Wizara na…
Continue Reading....