Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 207

Category: Habari za Nyumbani

Picha 12 Za Rais Magufuli Akiwa Katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi (TMA) Arusha, Alipowasili Ili Kuwatunuku Kamisheni Maafisa Wapya Wa Jeshi

Posted on: January 24, 2016January 24, 2016 - Yohana Chance
Picha 12 Za Rais Magufuli Akiwa Katika Chuo Cha Maafisa wa Jeshi (TMA) Arusha, Alipowasili Ili Kuwatunuku Kamisheni Maafisa Wapya Wa Jeshi

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Majeshi Nchini Jenerali Davis Mwamunyange…

Continue Reading....

Rais Magufuli Asema Atatumia Jeshi Kujenga Uchumi Wa Tanzania

Posted on: January 23, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli Asema Atatumia Jeshi Kujenga Uchumi Wa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunga “Zoezi la Onesha Uwezo Medani” lililoandaliwa na kutekelezwa na Kamandi ya Jeshi la…

Continue Reading....

Aenda Jela Miaka 5 kwa Wizi wa Mbuzi

Posted on: January 22, 2016 - jomushi
Post Tags: Wizi
Aenda Jela Miaka 5 kwa Wizi wa Mbuzi

Na Ezekiel Kamanga,Mbozi MAHAKAMA ya Mwanzo Vwawa Mjini wilayani Mbozi mkoani Mbeya imemuhukumu Patrick Moses(19) mkazi wa Ilembo kutumikia jela miaka mitano baada ya kukiri…

Continue Reading....

Wafanyakazi wa Mizani Watakiwa Kuonesha Uwazi, Uadilifu na Weledi

Posted on: January 22, 2016 - jomushi
Post Tags: TANROADS
Wafanyakazi wa Mizani Watakiwa Kuonesha Uwazi, Uadilifu na Weledi

WAFANYAKAZI wa Mizani hapa nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uwazi, uadilifu, na weledi ili kuzingatia sheria zinazoongoza sekta hiyo na hivyo kutenda haki kwa wasafirishaji…

Continue Reading....

Rais Wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt John Pombe Magufuli, Akiwasalimia Wananchi wa Arusha

Posted on: January 22, 2016January 22, 2016 - Yohana Chance
Rais Wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt John Pombe Magufuli, Akiwasalimia Wananchi wa Arusha

Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt John Pombe Magufuli, Akiwasalimia Wananchi wa Arusha Mapema Leo alipokuwa akielekea Wilayani Monduli…

Continue Reading....

NMB na Kampuni ya John Deere Kutoa Mikopo Rahisi kwa Wakulima

Posted on: January 22, 2016January 22, 2016 - jomushi
Post Tags: Benki ya NMB
NMB na Kampuni ya John Deere Kutoa Mikopo Rahisi kwa Wakulima

Na Mwandishi Wetu BENKI ya NMB kwa kushirikiana na Kampuni maarufu kwa uuzaji wa matrekta ya John Deere zimeingia makubaliano ili kufanikisha kuwakopesha matrekta wakulia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari