Kaimu Mkurugenzi Mkuuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini jijini…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
TRA Yawaomba Wananchi Kutoa Ushirikiano
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yawaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa za Maafisa wanaofanya kazi kinyume na maadili. Akiongea na mwandishi wa habari hii…
Continue Reading....Gari la Kwanza Daraja la Kigamboni Kuvuka Machi Mosi
mii (N.S.S.F) Mhandisi John Msemo, akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sehemu ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga (wa kwanza kulia) sehemu ya…
Continue Reading....Mambo Yaharibika NIDA, Rais Amsimamisha Mkurugenzi
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya…
Continue Reading....Katibu Mkuu Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Awatunuku ‘Mabaharia’
WAHITIMU wa kozi mbalimbali wa Chuo cha Bahari, Dar es Salaam (DMI), wametakiwa kufuata weredi na kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi…
Continue Reading....Mohammed Dewji Kukuza Ujasiriamali wa Vijana
MWENYEKITI wa Taasisi ya MO Dewji, Mohammed Dewji kwa kushirikiana na kampuni ya Darecha Limited leo wamezindua shindano la Mo Mjasiriamali lenye lengo la kusaidia…
Continue Reading....