Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 205

Category: Habari za Nyumbani

Watu 30 Wanusurika Kufa Maji Mkoani Morogoro

Posted on: January 28, 2016 - Yohana Chance
Watu 30 Wanusurika Kufa Maji Mkoani Morogoro

Kivuko cha Mto Kilombero Mkoani Morogoro Kimezama kikiwa na abiria zaidi ya 30 na magari matatu. Mkuu wa wilaya ya Kilombero , Bw Leph Gembe…

Continue Reading....

Mitandao ya Kijamii Yamzushia Rais Magufuli, Ni Kuhusu Safari ya Kenya

Posted on: January 28, 2016January 28, 2016 - jomushi
Mitandao ya Kijamii Yamzushia Rais Magufuli, Ni Kuhusu Safari ya Kenya

KUMEKUWEPO na habari za uongo na potofu katika mtandao wa jamii wa www.kenya-today.com kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli…

Continue Reading....

Serikali yasisitiza Ushirikisho wa Michezo Kuzingatia Utaratibu Kuzuia Migogoro

Posted on: January 27, 2016 - jomushi
Serikali yasisitiza Ushirikisho wa Michezo Kuzingatia Utaratibu Kuzuia Migogoro

Serikali imetoa wito kwa Vyama,Vilabu na Mashirikisho ya mpira wa miguu kuzingatia na kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa katiba zao ili kupunguza migogoro inayoweza…

Continue Reading....

Kamanda Sabas Akanusha Maandamano ya Madereva Bodaboda Arusha

Posted on: January 27, 2016 - jomushi
Kamanda Sabas Akanusha Maandamano ya Madereva Bodaboda Arusha

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha SACP Liberatus Sabas amekanusha habari iliyoandikwa na gazeti la Jambo Leo la Januari 27, 2016 lenye kichwa cha habari…

Continue Reading....

Vyama vya Siasa Vyaaswa Kushiriki Uchaguzi Zanzibar

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
Vyama vya Siasa Vyaaswa Kushiriki Uchaguzi Zanzibar

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe.Jaji Francis Mutungi ameviasa Vyama vya Siasa kushiriki chaguzi zinazotangazwa na tume za uchaguzi nchini ikiwemo uchaguzi wa Machi…

Continue Reading....

Chama cha waendesha Bodaboda Jijini Arusha Chaiomba Serikali Kuondoa Utata

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
Chama cha waendesha Bodaboda Jijini Arusha Chaiomba Serikali Kuondoa Utata

  Na Vero Ignatus , Arusha. Chama cha waendesha bodaboda Jijini Arusha ( UWAPA) chaiomba serikali kutatatua utata uliopo kati ya waendesha bodaboda na waendesha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari