Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 204

Category: Habari za Nyumbani

Shule ya Lowassa Yanusurika Kuteketea Kwa Moto

Posted on: January 28, 2016January 28, 2016 - Yohana Chance
Shule ya Lowassa Yanusurika Kuteketea Kwa Moto

Bweni la wanafunzi katika shule ya sekondari ya Edward Lowasa iliyopo wilayani Monduli mkoani Arusha limeteketea kwa moto na wanafunzi zaidi ya 70 wa kidato…

Continue Reading....

Serikali Kurejesha Mali Zilizopatikana na Uhujumu Uchumi

Posted on: January 28, 2016 - jomushi
Serikali Kurejesha Mali Zilizopatikana na Uhujumu Uchumi

NA MAGRETH KINABO NA ALLY DAUD – MAELEZO Serikali inaendelea kusimamia urejeshaji wa mali zilizopatikana kwa njia ya kihalifu kupitia mpango wa kupambana na uhalifu…

Continue Reading....

Serikali Kuendelea Kujenga Barabara kwa Kiwango cha Lami

Posted on: January 28, 2016 - jomushi
Serikali Kuendelea Kujenga Barabara kwa Kiwango cha Lami

Na Raymond Mushumbusi MAELEZO Serikali imeahidi kuendelea na ujenzi wa barabara katika maeneo tofauti nchini kwa kiwango cha lami ili kutatua adha kubwa ya ubovu…

Continue Reading....

Tajiri wa Chocolate Duniani Atembelea Tanzania

Posted on: January 28, 2016 - jomushi
Tajiri wa Chocolate Duniani Atembelea Tanzania

Na Sixmund J. Begashe Mfanyabishara mkubwa wa Chocolate duniani na mmiliki wa Kampuni ya kutengeneza Chocolate nchini Italia, ya SILVIO BESSONO Bw SILVIO BESSONO na…

Continue Reading....

UNESCO na Kongamano Kujadili Mpango wa Maendeleo Sekta ya Elimu

Posted on: January 28, 2016 - jomushi
Post Tags: UNESCO
UNESCO na Kongamano Kujadili Mpango wa Maendeleo Sekta ya Elimu

  KONGAMANO lililoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya…

Continue Reading....

Nape; TBC Haijafuta Kurusha Vipindi vya Bunge

Posted on: January 28, 2016 - jomushi
Post Tags: Vipindi vya Bunge
Nape; TBC Haijafuta Kurusha Vipindi vya Bunge

Na Raymond Mushumbusi MAELEZO SERIKALI imetolea ufafanuzi kuhusu taarifa za upotoshaji kwa umma kuwa imefuta vipindi vya shughuli za Bunge kuoneshwa katika televisheni ya Shirika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari