Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 191

Category: Habari za Nyumbani

Wachimbaji Moramu Arusha Wagomea Kauli ya Mkuu Wa Mkoa

Posted on: February 17, 2016 - Yohana Chance
Wachimbaji Moramu Arusha Wagomea Kauli ya Mkuu Wa Mkoa

Na Woinde Shizza,Arusha Mkuu wa wilaya ya Arusha Fadhili Nkurlu amesimamisha shughuli za uchimbaji katika machimbo ya moramu katika kata ya Moshono Mkoani hapa kwa…

Continue Reading....

Chama cha Walimu Manispaa ya Iringa Kumburuza Mkurugenzi CMA

Posted on: February 17, 2016 - jomushi
Post Tags: Chama cha Walimu
Chama cha Walimu Manispaa ya Iringa Kumburuza Mkurugenzi CMA

IKIWA ni siku kadhaa zimepita tangu kufanyike uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi la Manispaa ya Iringa kwa ajili ya kujadili baadhi ya agenda za kulijenga upya baraza hilo,…

Continue Reading....

TTCL Yakanusha Kudukuliwa, Yasema Mfumo wa Mawasiliano Upo Salama

Posted on: February 17, 2016 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
TTCL Yakanusha Kudukuliwa, Yasema Mfumo wa Mawasiliano Upo Salama

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa mfumo wa mawasiliano wa kampuni hiyo umeingiliwa na wadukuzi. Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya…

Continue Reading....

Katibu Rwegasira Atembelea Ofisi Za Uhamiaji Mkoani Kilimanjaro

Posted on: February 17, 2016February 17, 2016 - Yohana Chance
Katibu Rwegasira Atembelea Ofisi Za Uhamiaji Mkoani Kilimanjaro

Mkuu wa Kituo cha Uhamiaji mpakani Tarakea, wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, John Kapembe akimuonyesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,…

Continue Reading....

Chama cha NRA Kushiriki Marudio ya Uchaguzi Zanzibar

Posted on: February 16, 2016 - jomushi
Post Tags: Uchaguzi Zanzibar
Chama cha NRA Kushiriki Marudio ya Uchaguzi Zanzibar

Na Nyakongo Manyama MAELEZO CHAMA Cha National Reconstruction Alliance (NRA) kutoka Zanzibar kimethibitisha kushiriki uchaguzi wa marudio wa Zanzibar unaotarajiwa kufanyika Machi 20, mwaka huu…

Continue Reading....

Maofisa Polisi Kukutana Kuweka Mikakati Kukabili Uhalifu

Posted on: February 16, 2016 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Polisi
Maofisa Polisi Kukutana Kuweka Mikakati Kukabili Uhalifu

  Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi MAOFISA wakuu wa Jeshi la Polisi wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam kesho katika kikao kazi cha siku mbili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari