Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 187

Category: Habari za Nyumbani

Basi la Mashimba Express laua Wanne Mkoani Shinyanga

Posted on: February 26, 2016 - Yohana Chance
Basi la Mashimba Express laua Wanne Mkoani Shinyanga

Watu wanne wamefariki dunia katika ajali baada ya basi la Mashimba Express lililokuwa linasafiri kutoka Kahama kwenda jijini Mwanza kugongana na gari dogo katika eneo…

Continue Reading....

Blogu ya Wananchi Kuanzimisha Miaka Mitatu Kempisky

Posted on: February 26, 2016February 26, 2016 - jomushi
Blogu ya Wananchi Kuanzimisha Miaka Mitatu Kempisky

 Mkurugenzi Mkuu wa Blogu ya Wananchi, William Malecela ‘Le Mutuz’ , akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Blogu ya Wananchi,…

Continue Reading....

Polisi Kilimanjaro Wakamata Bunduki Chooni…!

Posted on: February 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Polisi na Bunduki
Polisi Kilimanjaro Wakamata Bunduki Chooni…!

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,Ramadhani Mungi akizungumza na wanahabari kuhusiana na matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika mkoa wa Kilimanjaro hivi karibuni.   JESHI la…

Continue Reading....

Chama cha Bodaboda Liwale Chakopesha Pikipiki 62 kwa ‘Bodaboda’

Posted on: February 24, 2016 - jomushi
Post Tags: bodaboda
Chama cha Bodaboda Liwale Chakopesha Pikipiki 62 kwa ‘Bodaboda’

Mgeni rasmi akikabidhi pikipiki kwa mwanacha hii leo maeneo ya ofisi za chama cha bodaboda. Afisa maendeleo ya jamii wilayani Liwale bibi Mary Ding’ohi akifafanua…

Continue Reading....

Prof. Mbarawa Amteuwa Johari Kuwa Mkurugenzi Mkuu TCAA

Posted on: February 24, 2016 - jomushi
Post Tags: Mkurugenzi Mkuu TCAA
Prof. Mbarawa Amteuwa Johari Kuwa Mkurugenzi Mkuu TCAA

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amemteuwa Bw. Hamza Said Johari kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA).…

Continue Reading....

Vijana Waliopitia JKT Kuajiriwa Ilala

Posted on: February 24, 2016 - jomushi
Vijana Waliopitia JKT Kuajiriwa Ilala

Na Raymond Mushumbusi-MAELEZO HALMASHAURI ya Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam ipo katika mikakati ya kuajiri vijana waliopita Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kama…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari