Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 186

Category: Habari za Nyumbani

Waziri Mkuu Apokea Misaada ya Maafa Ruangwa

Posted on: February 28, 2016 - jomushi
Waziri Mkuu Apokea Misaada ya Maafa Ruangwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea misaada mbalimbali kwa ajili ya wakazi wa vijiji vya Mtondo na Nanjaru wilayani Ruangwa mkoani Lindi ambao nyumba zao ziliezuliwa…

Continue Reading....

Waziri Nape Avitaka Vyombo vya Habari vya Serikali Kufichua Maovu.

Posted on: February 28, 2016 - jomushi
Waziri  Nape Avitaka Vyombo vya Habari vya Serikali Kufichua Maovu.

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Nnauye amewaasa wafanyakazi wa kampuni ya magazeti ya serikali ya Habari Leo,Daily News,SpotiLeo na Sunday News kuwa mstari wa…

Continue Reading....

Rais Magufuli Awasili Arusha Kuongoza Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Mshariki

Posted on: February 28, 2016February 28, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli  Awasili Arusha Kuongoza Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Mshariki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daudi Felix Ntibenda mara baada ya…

Continue Reading....

Baraza la Madiwani wa Halamshauri ya Manispaa ya Moshi Wakutana na Kujadili Mustakabali wa Maendeleo

Posted on: February 28, 2016 - Yohana Chance
Baraza la Madiwani wa Halamshauri ya Manispaa ya Moshi Wakutana na Kujadili Mustakabali wa Maendeleo

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,Jesh Lupembe akizungumza katika kikao cha baraza la Madiwani wa Halamshauri hiyo Baadhi ya watendaji wa Halmashari ya Manispaa…

Continue Reading....

IGP Mangu Afanya Mabadiliko kwa Baadhi ya Makamanda wa Polisi

Posted on: February 27, 2016 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Polisi
IGP Mangu Afanya Mabadiliko kwa Baadhi ya Makamanda wa Polisi

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu amefanya Mabadiliko kwa baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa na vikosi hapa nchini. Mabadiliko hayo…

Continue Reading....

Ofisa Uhusiano TTCL Afariki Dunia

Posted on: February 27, 2016 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
Ofisa Uhusiano TTCL Afariki Dunia

OFISA Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bi. Amanda Fredrick Luhanga, amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia Jumamosi Februari 27, 2016. Taarifa ya kifo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari