Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 185

Category: Habari za Nyumbani

Unatumiaje Muda Wako Baada ya Kazi?

Posted on: March 1, 2016 - Yohana Chance
Unatumiaje Muda Wako Baada ya Kazi?

Na Ferdinand Shayo Watu wengi hutumia muda wao baada ya kazi kukaa na marafiki,makundi rika na wengine hufanya mambo ambayo huwazuia kuzifikia ndoto zao. Wengine…

Continue Reading....

Hivi ndivyo Jeshi la Polisi Arusha Lilivyokabiliana na Majambazi

Posted on: March 1, 2016 - Yohana Chance
Hivi ndivyo Jeshi la Polisi Arusha Lilivyokabiliana na Majambazi

Na; Kiongozigod Watu watatu wanaodhaniwa kuwa majambazi wameuwawa kwa kupigwa risasi na askari polisi katika eneo la Engosheraton mkoani Arusha. Kamanda wa jeshi la polisi…

Continue Reading....

Utafiti Waweka Bayana Changamoto za Wanawake Uchaguzi Mkuu

Posted on: March 1, 2016 - jomushi
Post Tags: TAMWA
Utafiti Waweka Bayana Changamoto za Wanawake Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu UTAFITI mdogo uliofanywa katika baadhi ya vyombo vya habari ulibainisha kuwa ni asilimia 11 tu ya wanawake wagombea ndio walipata nafasi ya…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Majaliwa Apokea Misaada wa Zahanati, Kompyuta

Posted on: February 29, 2016 - jomushi
Waziri Mkuu Majaliwa Apokea Misaada wa Zahanati, Kompyuta

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amepokea msaada wa kujenga zahanati na nyumba ya mganga kwenye kijiji cha Nandagala, wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Msaada huo wenye…

Continue Reading....

Eng. Edwin Ngonyani Azipa Changamoto Taasisi za Serikali

Posted on: February 29, 2016 - jomushi
Post Tags: usafiri
Eng. Edwin Ngonyani Azipa Changamoto Taasisi za Serikali

NAIBU Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng. Edwin Ngonyani, amezitaka taasisi zilizo chini ya Wizara yake kufanya kazi kwa uadilifu, bidii na kwa uharaka…

Continue Reading....

TPB Yatoa Mikopo kwa Vikundi vya SACCOS Kigoma

Posted on: February 29, 2016 - jomushi
Post Tags: TPB
TPB Yatoa Mikopo kwa Vikundi vya SACCOS Kigoma

KATIKA jitihada za kuwafikia Watanzania wengi zaidi na kuwawezesha kiuchumi,Benki ya Posta Tanzania (TPB) imekabidhi mikopo kwa vikundi viwili vya SACCOS ambavyo ni TWCC Women…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari