Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 183

Category: Habari za Nyumbani

Mikoa Nane Nchini Inatishiwa kuwa Jangwa – Mpina

Posted on: March 2, 2016 - jomushi
Mikoa Nane Nchini Inatishiwa kuwa Jangwa – Mpina

NAIBU WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira, Bw. Luhaga Mpina amesema mkoa wa Simiyu ni miongoni mwa mikoa nane hapa nchini…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Aagiza Watumishi wote Wahamie Busega

Posted on: March 2, 2016 - jomushi
Waziri Mkuu Aagiza Watumishi wote Wahamie Busega

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watumishi na watendaji wote wa Serikali wahamie yalipo makao makuu ya wilaya ya Busega kuanzia sasa ili kuleta kasi ya…

Continue Reading....

Mazishi ya Afisa Uhusiano wa TTCL Amanda Luhanga Yafanyika Mlangali-ludewa,

Posted on: March 2, 2016 - jomushi
Mazishi ya Afisa Uhusiano wa TTCL   Amanda Luhanga Yafanyika Mlangali-ludewa,

Mazishi ya aliyekuwa Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania TTCL Marehemu Amanda Luhanga Njavike( 36) yamefanyika katika Kijiji cha Mlangali, Ludewa Mkoani Njombe. Mazishi…

Continue Reading....

Rais Magufuli Akutana na Kujadili Masuala Kadhaa na Rais Paul Kagame wa Rwanda

Posted on: March 2, 2016March 2, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli Akutana na Kujadili Masuala Kadhaa na Rais Paul Kagame wa Rwanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Rwanda Paul Kagame…

Continue Reading....

Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), Yaanza Kuelimisha Wanahabari Kuhusu El- Nino

Posted on: March 2, 2016 - Yohana Chance
Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), Yaanza Kuelimisha Wanahabari Kuhusu El- Nino

Na; George Binagi –GB Pizzo Katibu Tawala Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza Marcella Mayalla, akifungua Warsha ya Siku mbili kwa Wanahabari Kuhusu El-Nino na athari…

Continue Reading....

Naibu Waziri Dkt Abdallah Possi Afanya Ziara Jijini Arusha

Posted on: March 2, 2016 - Yohana Chance
Naibu Waziri Dkt Abdallah Possi Afanya Ziara Jijini Arusha

Naibu Waziri (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akizungumza na watoto wenye ulemavu wa ngozi (albinism) katika ziara yake shule ya Arusha ikiwa ni…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari