Na Frank Mvungi-Maelezo SERIKALI imedhamiria kuendelea kupokea na kushughulikia malalamiko ya wananchi yanayowasilishwa ili kuwezesha upatikanaji wa haki kwa wakati. Kauli hiyo imetolewa leo Jijini…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Watakiwa Kutoa Maoni Kuboresha Sera Mpya Maendeleo ya Jamii
Beatrice Lyimo – MAELEZO WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa wito kwa wananchi na wadau mbalimbali kuendelea kutoa maoni na mapendekezo ili yatumike…
Continue Reading....Jamii Media Yafungua Kesi ya Kikatiba Mahakama Kuu
KAMPUNI ya Jamii Media, waendeshaji wa mitandao ya JamiiForums.com na FikraPevu.com wametinga Mahakamani kufungua kesi ya kikatiba wakipinga baadhi ya vifungu vya sheria ya makosa…
Continue Reading....MV Kilombero II Yaanza Kazi Rasmi Baada ya Kuzama
WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inapenda kuujulisha umma kuwa kivuko cha MV Kilombero II ambacho kilizama tarehe 27 Januari 2016, na kusababisha kusimama kwa…
Continue Reading....Viongozi Wanawake Waliofanikiwa Kuwaunga Mkono Wanawake…!
SIKU ya Jumapili (Machi 6, 2016) zaidi ya wanawake mia moja wanatarajia kujumuika pamoja jijini Dar es Salaam katika matembezi yaliyoandaliwa na Taasisi ya Vital…
Continue Reading....Makumbusho ya Taifa, Sweden Waandaa Onesho Juu ya Matumizi ya Ardhi Hadhari
Na Sixmund Begashe MAKUMBUSHO ya Taifa Tanzania kwa ushirikano na Chuo Kikuu cha Lund Sweden wameandaa onesho la pamoja kuhusu mabadiliko ya matumizi ya ardhi…
Continue Reading....