Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 18

Category: Habari za Nyumbani

Mazishi ya Marehemu Balozi Cisco Mtiro Kufanyika Jumatano

Posted on: June 6, 2017 - jomushi
Mazishi ya Marehemu Balozi Cisco Mtiro Kufanyika Jumatano

MKUU wa Itifaki mstaafu Balozi Cisco Mtiro (pichani) ambaye amefariki dunia leo asubuhi  katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam alikokuwa amelazwa kwa…

Continue Reading....

UHURU WA VYOMBO VYA HABARI HAUTAFIKIWA BILA USAWA WA KIJINSIA

Posted on: June 6, 2017June 6, 2017 - jomushi
UHURU WA VYOMBO VYA HABARI HAUTAFIKIWA BILA USAWA WA KIJINSIA

  Na Mwandishi Wetu KILA ifikapo Mei 3, wanahabari na wadau mbalimbali wa vyombo vya habari duniani huungana kwa pamoja kuadhimisha Siku ya Uhuru wa…

Continue Reading....

Waziri Mbarawa Apokea Kivuko cha Mv. Kazi

Posted on: June 5, 2017 - jomushi
Waziri Mbarawa Apokea Kivuko cha Mv. Kazi

  Na Eliphace Marwa, Maelezo WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amepokea Kivuko cha MV Kazi kutoka kwa Kampuni ya kizalendo ya…

Continue Reading....

DC Mjema Afanya Ziara Chuo cha St. Mark Kilichopo Buguruni Malapa

Posted on: June 5, 2017 - jomushi
DC Mjema Afanya Ziara Chuo cha St. Mark Kilichopo Buguruni Malapa

  Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema akizungumza na wanajumuiya ya Chuo cha St. Mark kilichopo Buguruni Malapa alipofanya ziara ya kikazi chuoni hapo. Kulia…

Continue Reading....

Wapanda Mlima Kuchangia Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi…!

Posted on: June 5, 2017 - jomushi
Wapanda Mlima Kuchangia Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi…!

  Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Tulia Ackson akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika…

Continue Reading....

Wabunge 40 wa CUF ‘Wampa’ Ofisi Mpya Maalim Seif…!

Posted on: June 5, 2017 - jomushi
Wabunge 40 wa CUF ‘Wampa’ Ofisi Mpya Maalim Seif…!

Na Suleiman Msuya   IKIWA ni takribani miezi 10 sasa kwa Chama cha Wananchi (CUF), upande wa Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad kuvamiwa katika Ofisi Kuu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari