Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 176

Category: Habari za Nyumbani

Usafiri wa Reli ya Kati Uliokuwa Umesimama Warejea

Posted on: March 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Reli ya Kati
Usafiri wa Reli ya Kati Uliokuwa Umesimama Warejea

HUDUMA ya usafiri wa reli ya Kati iliyokuwa imesimama kwa takribani miezi miwili sasa imerejea kufuatia kukamilika kwa ukarabati wa reli hiyo katika eneo la…

Continue Reading....

Dk. Vincent Mashingi Ndiye Katibu Mkuu Mpya wa CHADEMA

Posted on: March 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Katibu Mkuu Chadema
Dk. Vincent Mashingi Ndiye Katibu Mkuu Mpya wa CHADEMA

KATIBU Mkuu mteule wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Vincent Mashingi mwenye umri wa miaka 43 ameteuliwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa,…

Continue Reading....

Bodi ya Mikopo Yatoa Siku 60 kwa Wadaiwa Kuwasilisha Madeni

Posted on: March 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu
Bodi ya Mikopo Yatoa Siku 60   kwa Wadaiwa Kuwasilisha Madeni

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inatoa siku 60 kuanzia tarehe 14 Machi, 2016 kwa wanufaika wote wa mikopo wanaodaiwa na…

Continue Reading....

Rais Magufuli Apangua Ma RC, Ampa Makonda Dar

Posted on: March 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Wakuu wa Mikoa
Rais Magufuli Apangua Ma RC, Ampa Makonda Dar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko kwa kuwapangua wakuu wa mikoa, kuwahamisha na kuwapandisha baadhi ya Wakuu wa…

Continue Reading....

Daraja Mto Kilombero Kukamilika Novemba-Prof. Mbarawa

Posted on: March 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Mto Kilombero
Daraja Mto Kilombero Kukamilika Novemba-Prof. Mbarawa

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amesema Serikali imejipanga kuhakikisha ujenzi wa daraja la mto Kilombero unakamilika ifikapo mwezi Novemba mwaka huu…

Continue Reading....

Neema ya Maji Dar Yaanza, Dawasco Wawasha Mtambo Ruvu Chini

Posted on: March 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Mtambo Ruvu Chini
Neema ya Maji Dar Yaanza, Dawasco Wawasha Mtambo Ruvu Chini

Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam HATIMAYE moja ya Pampu kubwa katika mtambo wa kuzalisha Maji kwenye chanzo cha maji cha Ruvu Chini,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari