Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 173

Category: Habari za Nyumbani

Mwenyekiti UWT Dar es salaam Awanyoshea Kidole Waliokisaliti Chama Wakati wa Uchaguzi Mkuu

Posted on: March 18, 2016 - jomushi
Mwenyekiti UWT Dar es salaam Awanyoshea Kidole  Waliokisaliti Chama Wakati wa Uchaguzi Mkuu

Na Dotto Mwaibale MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Janeth Masaburi amesema wanachama wa chama hicho waliokiuchumu wakati wa uchaguzi…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afungua Duka la Bohari ya Dawa Chato

Posted on: March 18, 2016 - jomushi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afungua Duka la Bohari ya Dawa Chato

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefungua duka la Bohari ya Dawa (MSD), la Wilayani Chato duka litakalotoa huduma kwa wananchi wa wilaya hiyo. Akizungumza katika hafla…

Continue Reading....

Uamuzi Kutoa Elimu bure Utachochea Usawa wa Kijinsia– Ummy Mwalimu

Posted on: March 18, 2016 - jomushi
Uamuzi Kutoa Elimu bure Utachochea Usawa wa Kijinsia– Ummy Mwalimu

Hayo yalisemwa na Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (Mb.)wakati akitoa taarifa ya nchi katika Mkutano wa 60…

Continue Reading....

Serikali Yapongeza Operesheni Safisha ya TFDA

Posted on: March 18, 2016 - jomushi
Serikali Yapongeza Operesheni Safisha ya TFDA

NAIBU WAZIRI WA AFYA, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk. Hamisi Kigwangalla amepongeza juhudi za Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) nchini kwa…

Continue Reading....

Imefahamika Wanafunzi Hupata Mimba Kipindi Cha Likizo

Posted on: March 18, 2016 - Yohana Chance
Imefahamika Wanafunzi Hupata Mimba Kipindi Cha Likizo

Na Ferdinand Shayo,Arusha. Afisa Maendeleo ya jamii Mkoa wa Arusha Blandina Nkini amesema kuwa watoto wengi hupata mimba kipindi cha likizo za mashuleni kutokana na…

Continue Reading....

Makala Ataka Kipindupindu Kuwa Historia Mbeya

Posted on: March 17, 2016 - jomushi
Makala Ataka  Kipindupindu Kuwa Historia Mbeya

Na Emanuel Madafa, Mbeya. MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makala, amewaagiza watendaji wote wenye dhamana ya kulinda afya na usalama wa wananchi kuhakikisha kuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari