RAIS wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo jijini Dar es Salaam amezinduwa rasmi Daraja la Nyerere (Daraja la Kigamboni) linalounganisha Jiji la Dar es…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
RC Makonda Aagiza Uchunguzi Ufanywe Ujenzi wa Machinga Complex
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda (kulia), akikagua vizimba katika Jengo la Machinga Complex Dar es Salaam jana, baada ya kufanyika kikao…
Continue Reading....SSRA Yawatoa Hofu Wanachama wa NSSF…!
HIVI karibuni kumekuwa na taarifa mbalimbali zisizo rasmi kuhusu hali na mwenendo wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Baadhi ya taarifa hizo zimekuwa zikieleza kwamba…
Continue Reading....DC Arusha Ataka Walemavu Kutengea Maeneo ya Biashara
MKUU wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu ameitaka Halmashauri ya Jiji hilo kutenga maeneo maulumu ya kuwawezesha wafanyabiashara wenye ulemavu kufanya shughuli za kujiingizia kipato…
Continue Reading....Rais Dk Magufuli Amtumbua Hadharani Mkurugenzi wa Jiji Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar RAIS wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi hadharani Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Bw. Wilson Kabwe kwa…
Continue Reading....Rais Dk Magufuli Kuzinduwa Rasmi Daraja la Kigamboni
WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inapenda kutaarifu Umma kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli, anatarajiwa kuwa mgeni…
Continue Reading....