Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 154

Category: Habari za Nyumbani

Waziri Mkuu Majaliwa Ashiriki Mazishi ya Askofu Isuja

Posted on: April 21, 2016 - Yohana Chance
Waziri Mkuu Majaliwa Ashiriki Mazishi ya Askofu Isuja

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa Askofu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dodoma, Mathias Isuja katika mazishi yaliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la…

Continue Reading....

Denmark Yatoa Msaada kwa Taasisi ya TaSUBA

Posted on: April 20, 2016 - jomushi
Denmark Yatoa Msaada kwa Taasisi ya TaSUBA

   Kaimu Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni (TaSUba) , Michael Kadindena akitoa neno la shukrani wakati wa hafla hiyo.  Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya…

Continue Reading....

Lugumi Enterprises Awakimbia Waandishi wa Habari…!

Posted on: April 20, 2016 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Polisi
Lugumi Enterprises Awakimbia Waandishi wa Habari…!

UONGOZI wa Kampuni ya Lugumi Enterprises ambao umekuwa ukituhumiwa kupokea asilimia 99 ya malipo ya fedha toka Jeshi la Polisi Tanzania kwa tenda ya kufunga…

Continue Reading....

TANAPA Kuzindua Kampeni ya Kupanda Mlima Kilimanjaro

Posted on: April 20, 2016 - Yohana Chance
TANAPA Kuzindua Kampeni ya Kupanda Mlima Kilimanjaro

Na; Ferdinand Shayo Shirika la Hifadhi za Taifa TANAPA limejipanga kuzindua kampeni ya kitaifa ya kufanya usafi mlima Kilimanjaro ambao unakusanya mapato ya shilingi bilioni…

Continue Reading....

Mwenyekiti wa CCM Dk Kikwete Ziarani Nchini China

Posted on: April 20, 2016April 22, 2016 - Yohana Chance
Mwenyekiti wa CCM Dk Kikwete Ziarani Nchini China

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi {CCM} na Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete yuko nchini China…

Continue Reading....

Rais Magufuli Aliita Daraja la Kigamboni, Daraja la Nyerere

Posted on: April 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Daraja la Nyerere
Rais Magufuli Aliita Daraja la Kigamboni, Daraja la Nyerere

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo Aprili 19, 2016 amefungua rasmi Daraja la Kigamboni linalounganisha usafiri wa barabara kati…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari