Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 153

Category: Habari za Nyumbani

Prof. Muhongo Atuwa Dar kwa Kishindo, Ashinda Mjadala Bomba la Mafuta

Posted on: April 24, 2016 - jomushi
Post Tags: Bomba la Mafuta
Prof. Muhongo Atuwa Dar kwa Kishindo, Ashinda Mjadala Bomba la Mafuta

  Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akionyesha kwa wanahabari, mpango wa ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka nchini Uganda mpaka Jijini Tanga,…

Continue Reading....

Msemaji wa Papa Wemba Aelezea Kifo Kilivyomkuta, Afia ‘Jukwaani’

Posted on: April 24, 2016 - jomushi
Msemaji wa Papa Wemba Aelezea Kifo Kilivyomkuta, Afia ‘Jukwaani’

TAARIFA ya kufariki kwa mwanamuziki nguli wa kiafrika Papa Wemba imepokewa kwa mshtuko mkubwa na mashabiki wake kote duniani. Video inayosambazwa katika mitandao ya kijamii…

Continue Reading....

Wizara ya Ujenzi Yakusanya Maoni Mbeya Kuboresha ‘TEHAMA’

Posted on: April 24, 2016April 24, 2016 - jomushi
Wizara ya Ujenzi Yakusanya Maoni Mbeya Kuboresha ‘TEHAMA’

Mkurugenzi Msaidizi anayeshughulikia masuala ya Simu katika Wizara ya Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Ndugu John Mwera akizungumza na wanahabari katika viwanja vya Chuo Cha Uhasibu…

Continue Reading....

Waziri wa Afya Awasimamisha Watendaji Wakuu NHIF Mara

Posted on: April 22, 2016April 22, 2016 - jomushi
Post Tags: Wasimamishwa Kazi
Waziri wa Afya Awasimamisha Watendaji Wakuu NHIF Mara

Continue Reading....

Daraja la Kigamboni Kukuza Sekta ya Utalii…!

Posted on: April 22, 2016 - jomushi
Post Tags: Daraja KIgamboni
Daraja la Kigamboni Kukuza Sekta ya Utalii…!

SIKU chache zimepita tangu Daraja la Kisasa linalounganisha Kigamboni na jiji la kibiashara la Dar es salaam kukamilika na kuzinduliwa na Rais wa Jamuhuri wa…

Continue Reading....

Rais Magufuli Azungumza na Viongozi wa CCM Ikulu

Posted on: April 21, 2016April 22, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli Azungumza na Viongozi wa CCM Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wenyeviti, Makatibu wa Chama cha Mapinduzi wa mikoa na Wilaya za Tanzania bara…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari