Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 152

Category: Habari za Nyumbani

UVCCM Arumeru Wamdindia Mwenyekiti UVCCM Mkoa Arusha

Posted on: April 25, 2016 - jomushi
Post Tags: UVCCM
UVCCM Arumeru Wamdindia Mwenyekiti UVCCM Mkoa Arusha

    Na Woinde Shizza, Arusha BARAZA la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Arumeru limelaani kitendo cha Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa…

Continue Reading....

Zitto Kabwe Asema Serikali ya JPM Inamawaziri Hewa…!

Posted on: April 25, 2016April 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Zitto Kabwe
Zitto Kabwe Asema Serikali ya JPM Inamawaziri Hewa…!

KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zuberi Zitto (Mb) amesema mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli hawana…

Continue Reading....

Serikali Yaunda Kamati Kuanzisha Tume ya TEHAMA

Posted on: April 25, 2016 - jomushi
Post Tags: TEHAMA
Serikali Yaunda Kamati Kuanzisha Tume ya TEHAMA

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa, ameunda Kamati ya mpito ya kusimamia uanzishwaji wa Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)…

Continue Reading....

Rais Dk. Magufuli Afanya Uteuzi Makatibu Tawala wa Mikoa

Posted on: April 25, 2016April 25, 2016 - Yohana Chance
Post Tags: Rais Dk Magufuli
Rais Dk. Magufuli Afanya Uteuzi Makatibu Tawala wa Mikoa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 25 ya…

Continue Reading....

Thobias Andengenye Ateuliwa Kamishna Mkuu Jeshi la Zimamoto

Posted on: April 25, 2016April 25, 2016 - Yohana Chance
Thobias Andengenye Ateuliwa Kamishna Mkuu Jeshi la Zimamoto

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye kuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto nchini.…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Akutana na Balonzi wa China Dk Lu Youqing

Posted on: April 25, 2016April 25, 2016 - Yohana Chance
Rais Dk Magufuli Akutana na Balonzi wa China Dk Lu Youqing

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing Ikulu jijini Dar es Salaam.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari