Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 148

Category: Habari za Nyumbani

Rais Dk Magufuli Amuapisha Dk Rose Migiro Kuwa Barozi

Posted on: May 5, 2016 - Yohana Chance
Rais Dk Magufuli Amuapisha Dk Rose Migiro Kuwa Barozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemuapisha Dk. Asha-Rose Mtengeti Migiro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza. Hafla ya kuapishwa…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Amkumbuka Asha-Rose Migiro

Posted on: May 4, 2016 - Yohana Chance
Rais Dk Magufuli Amkumbuka Asha-Rose Migiro

Continue Reading....

‘GREEN VOICES’ Sauti za Akinamama Wapambanao na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Posted on: May 4, 2016 - jomushi
Post Tags: Akinamama
‘GREEN VOICES’ Sauti za Akinamama Wapambanao na Mabadiliko ya Tabia Nchi

WANAWAKE wapatao 15 hivi karibuni walihudhuria mafunzo ya kuongeza ujuzi wa jinsi ya kupambana na mabadiliko ya tabianchi nchini Spain. Mafunzo na mradi huo vinafadhiliwa…

Continue Reading....

Mitandao ya Kijamii Yatishia Amani Magazeti ‘Print Media’

Posted on: May 4, 2016 - jomushi
Post Tags: Mitandao ya Kijamii
Mitandao ya Kijamii Yatishia Amani Magazeti ‘Print Media’

TAARIFA ya utafiti inaeleza kuwa vyombo vya habari vya asilia hususan magazeti vinakufa kadri teknolojia ya upatikanaji habari inavyo kuwa. Hivi sasa vyombo vingi vya…

Continue Reading....

Dk Kigwangalla Kumsomesha Mtoto Aliyeiwakilisha Tanzania UN

Posted on: May 3, 2016 - jomushi
Post Tags: Bungeni
Dk Kigwangalla Kumsomesha Mtoto Aliyeiwakilisha Tanzania UN

TAASISI ya Misaada ya Kijamii ya Hamisi Kigwangalla inayomilikiwa na Naibu Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamisi Kigwangalla imejitolea…

Continue Reading....

Rais Dk. Magufuli Ashiriki Kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM

Posted on: May 3, 2016 - Yohana Chance
Rais Dk. Magufuli Ashiriki Kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli wakati alipowasili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari