MTU anayesadikiwa kuwa na upungufu wa akili amemchoma kisu mmoja wa askari wa Bunge la Tanzania. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari mtu huyo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Wakadiriaji Majenzi Afrika Kukutana Tanzania Agosti 2016
Na Dotto Mwaibale CHAMA Cha Wakadiriaji Majengo Tanzania (TIQS) kwa kushirikiana na Chama cha wakadiriaji majenzi Afrika (AAQS), watakuwa wenyeji wa mkutano mkuu wa Wakadiriaji…
Continue Reading....Mtoto wa Michuzi Kuzikwa Jumamosi Makaburi ya Kisutu
FAMILIA ya Ankal Issa Michuzi iliyopatwa na msiba wa kuondokewa na Mtoto wa Ankal, Maggid Muhidin aliefariki Jumapili Mei 8, 2016 huko Durban, Afrika Kusini. Mwili…
Continue Reading....Rais Dk Magufuli Awasili Nchini Uganda Kushiriki Tukio la Kuapishwa Rais Mteule wa Nchi Hiyo Yoweri Museveni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akipunga mkono kwenye kikundi cha ngoma mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Entebe…
Continue Reading....Tozo Daraja la Nyerere Kuanza Rasmi Jumamosi
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imetangaza rasmi tozo zitakazotumika katika Daraja la Nyererejijini Dar es salaam. Akizungumza na waandishi wa habari jijini…
Continue Reading....Naibu Waziri Kazi, Vijana na Ajira, Atembelea Kambi Tiba ya GSM Dodoma
Na Mwandishi Wetu Mbunge wa Dodoma Mjini na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde amefanya ziara ya kushtukiza katika kambi tiba ya…
Continue Reading....