Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 144

Category: Habari za Nyumbani

Wakuu wa Majeshi ya Afrika Wakutana Arusha Kujadili Juu ya Tishio la Ugaidi

Posted on: May 16, 2016 - Yohana Chance
Wakuu wa Majeshi ya Afrika Wakutana Arusha Kujadili Juu ya Tishio la Ugaidi

Na; Ferdinand Shayo,Arusha. Majenerali na Wakuu wa Majeshi ya nchi kavu Barani Afrika wamekutana jijini Arusha kujadili changamoto zinazoyakibili majeshi hayo ikiwemo tishio la ugaidi…

Continue Reading....

Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Afungua Mkutano na Kukabidhi Hundi

Posted on: May 16, 2016 - Yohana Chance
Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Afungua Mkutano na Kukabidhi Hundi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wajumbe wa Mkutano wa kwanza wa Mifuko ya Maendeleo ya…

Continue Reading....

Halmashauri ya Karatu Watumbuana Majipu

Posted on: May 16, 2016 - Yohana Chance
Halmashauri ya Karatu Watumbuana Majipu

Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Karatu limewasimamisha kazi baadhi ya watumishi kutokana na ubadhilifu wa fedha za Umma. Mwenyekiti wa Baraza la madiwani wa…

Continue Reading....

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete Ahudhuria Mazishi ya Mtoto wa Michuzi

Posted on: May 15, 2016 - Yohana Chance
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete Ahudhuria Mazishi ya Mtoto wa Michuzi

Rais Mstaa mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete akiagana na Issa Michuz Baba wa marehemu (mwenye kofia), Issa Michuzi akipewa pole na baadhi waombolezaji…

Continue Reading....

Waziri Nape Nnauye Awakaribisha Wasanii Bungeni..!

Posted on: May 13, 2016 - jomushi
Post Tags: wasanii
Waziri Nape Nnauye Awakaribisha Wasanii Bungeni..!

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akiwa na wasanii mbalimbali pamoja na blogger nje ya bunge baada ya kuwasilisha hotuba ya Makadirio…

Continue Reading....

JPM, JK na Mwinyi Walivyokutana kwa Museven

Posted on: May 13, 2016 - Yohana Chance
JPM, JK na Mwinyi Walivyokutana kwa Museven

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Kikwete kwenye viwanja vya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari