Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 139

Category: Habari za Nyumbani

Waziri Mkuu Majaliwa Afungua Mkutano wa Africa World Heritage Arusha

Posted on: May 31, 2016 - Yohana Chance
Waziri Mkuu Majaliwa Afungua Mkutano wa Africa World Heritage Arusha

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua mkutano wa ‘Africa World Heritage’ kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Mei 31, 2016. Kulia ni Waziri…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Ampa Shavu Anne Makinda, Ateuwa Wengine 2

Posted on: May 30, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais Magufuli
Rais Dk Magufuli Ampa Shavu Anne Makinda, Ateuwa Wengine 2

RAIS wa Tanzania Dk. Pombe John Magufuli amemteuwa Spika mstaafu, Anne Semamba Makinda kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya…

Continue Reading....

Bunge Lawasimamisha Wabunge Saba wa Upinzani…!

Posted on: May 30, 2016 - jomushi
Post Tags: Bungeni Dodoma
Bunge Lawasimamisha Wabunge Saba wa Upinzani…!

Na Aron Msigwa -Dodoma BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge limepitisha azimio la kuwasimamisha kuhudhuria…

Continue Reading....

DAWASCO Yakanusha Gari Lao Kusababisha Ajali Namanga Oysterbay

Posted on: May 30, 2016 - jomushi
Post Tags: Dawasco
DAWASCO Yakanusha Gari Lao Kusababisha Ajali Namanga Oysterbay

Na Mwandishi Wetu, SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), imekanusha taarifa iliyoripotiwa na vyombo kadhaa vya habari juu ya gari linalodaiwa kuwa la…

Continue Reading....

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daudi Ntibenda Akabidhiwa Madawati 100

Posted on: May 30, 2016 - Yohana Chance
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daudi Ntibenda Akabidhiwa Madawati 100

Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) kimemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Daudi Ntibenda madawati 100 yenye thamani shilingi milioni nane ili kupunguza tatizo…

Continue Reading....

Shirika la DEHECO Latoa Msaada kwa Watoto Yatima

Posted on: May 28, 2016May 28, 2016 - Yohana Chance
Shirika la DEHECO Latoa Msaada kwa Watoto Yatima

Mkuu wa Kituo cha Kituo cha Watoto yatima cha St Joseph, Sister Mnate akishukuru kwa ndugu, jamaa na marafiki walioambatana na DEHECO mara baada ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari