Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 135

Category: Habari za Nyumbani

Waziri Ataka ‘Data Centre’ ya TTCL Ianze Kazi, Atoa Mwezi Mmoja…!

Posted on: June 12, 2016 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Mawasiliano
Waziri Ataka ‘Data Centre’ ya TTCL Ianze Kazi, Atoa Mwezi Mmoja…!

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa ametoa mwezi mmoja kwa Katibu Mkuu wa Wizara anayeshughulikia Sekta ya Mawasiliano na Mtendaji Mkuu wa…

Continue Reading....

Kampuni ya Kigeni Inapotumia Mbinu Chafu Kuidhalilisha Serikali

Posted on: June 12, 2016 - jomushi
Post Tags: Uhalifu
Kampuni ya Kigeni Inapotumia Mbinu Chafu Kuidhalilisha Serikali

Na Mwandishi Wetu BIASHARA ya utalii imekuwa na ushindani mkubwa si nje bali hata ndani ya nchi yetu. Ushindani wa kibiashara unadhihirishwa na jinsi ambavyo…

Continue Reading....

Rais John Magufuli Ampa Mwigulu Nchemba Wizara ya Mambo ya Ndani

Posted on: June 11, 2016 - jomushi
Post Tags: Uteuzi wa Rais
Rais John Magufuli Ampa Mwigulu Nchemba Wizara ya Mambo ya Ndani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amemteuwa aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Mambo…

Continue Reading....

Prof. Mbarawa Akemea Hujuma Miundombinu ya Barabara Singida

Posted on: June 11, 2016June 12, 2016 - jomushi
Post Tags: TANROADS
Prof.  Mbarawa Akemea Hujuma Miundombinu ya Barabara Singida

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa amewaagiza viongozi wa Serikali kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama na wananchi mkoani Singida kuwabaini…

Continue Reading....

Kanisa la Sinza Christian Center Latupiwa Virago Njea

Posted on: June 10, 2016 - jomushi
Post Tags: Kufunga Kanisa
Kanisa la Sinza Christian Center  Latupiwa Virago Njea

  DENI la zaidi ya milioni 100 linalodaiwa Kanisa la Sinza Christian Center  la jijini Dar es Salaam limesababisha kutupiwa nje vyombo vyake na dalali aliyepewa tenda hiyo…

Continue Reading....

TANAPA Yawapeleka Wahariri, Wanahabari Waandamizi Hifadhi ya Mikumi

Posted on: June 9, 2016 - jomushi
Post Tags: Tanapa
TANAPA Yawapeleka Wahariri, Wanahabari Waandamizi Hifadhi ya Mikumi

                 

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari