Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 131

Category: Habari za Nyumbani

Waziri Prof Mbarawa Akagua Ukarabati Vivuko Dar, Kukamilika Agosti…!

Posted on: June 22, 2016 - jomushi
Post Tags: Temesa
Waziri Prof Mbarawa Akagua Ukarabati Vivuko Dar, Kukamilika Agosti…!

Waziri Prof Mbarawa Akagua Ukarabati Vivuko Dar, Kukamilika Agosti…! WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amekagua ukarabati na Ujenzi wa Vivuko vya…

Continue Reading....

Siku ya Mtoto wa Afrika Ilivyofana Wilayani Arumeru

Posted on: June 21, 2016June 21, 2016 - Yohana Chance
Siku ya Mtoto wa Afrika Ilivyofana Wilayani Arumeru

Meneja wa bank ya CRDB tawi la Usa River wilayani Arumeru mkoani arusha akimlisha keki moja ya mtoto alieshiriki katika maadhimisho ya siku ya mtoto…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Majaliwa Afuatilia Mjadala Bungeni

Posted on: June 21, 2016 - Yohana Chance
Waziri Mkuu Majaliwa Afuatilia Mjadala Bungeni

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, bungeni mjini Dodoma jana Juni 20, 2016. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa…

Continue Reading....

Wakimbizi Wanajeshi Watakiwa Kujisalimisha Kigoma…!

Posted on: June 21, 2016 - jomushi
Post Tags: Wakimbizi
Wakimbizi Wanajeshi Watakiwa Kujisalimisha Kigoma…!

  SERIKALI  ya Tanzania imewataka wakimbizi wote ambao walikuwa wanajeshi kutoka nchi walizokuwepo, kuripoti kwenye mamlaka husika ili waweze kupewa uangalizi maalum (special protection) kama wanajeshi. Kauli…

Continue Reading....

Serikali Yazuia Matumizi Mabaya ya Vyandarua Nchini

Posted on: June 21, 2016June 21, 2016 - jomushi
Post Tags: Takwimu
Serikali Yazuia Matumizi Mabaya ya Vyandarua Nchini

Na Ally Daud – Maelezo SERIKALI imetoa wito kwa wananchi kuacha matumizi mabaya ya vyandarua ili kusaidia jitihada za Serikali katika kupambana na ugonjwa wa…

Continue Reading....

Tanzania Yatajwa Kama nchi Hatari kwa Albino

Posted on: June 21, 2016 - jomushi
Tanzania Yatajwa Kama nchi Hatari kwa Albino

    NCHI ya Tanzania imetajwa kati ya nchi zinazoongoza kwa unyanyasaji kwa watu wenye Ualbino licha ya uwepo wa juhudi za Serikali ikizifanya kuhakikisha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari